Duh kwani uyo Simba ajawai kunufaika kwenye hii ligi kuu ndiyo mara ya kwanza jana wachambuz mtafika mmechoka
C
cynthia.horn2 months, 3 weeks ago
Leo halijadiliwi goli haramu la Mpanzu ??
vincent_keer2 months, 3 weeks ago
Jeff kanichekesha sana leo anasema imefika zamu ya simba kunifuika na makosa ya
G
gaelhenriquedapaz4052 months, 3 weeks ago
Duh🙄 ila “Hans Et Juma anamiaka 47 ah ah aaaaah 😂😂😂
V
victoire.lucas2 months, 3 weeks ago
We unayezungumzia ku strangle kwa OKELO kwenye game zake za Mwanzo alipokuaja -- kwani wewe ulitaraji asistragle,lakini unashindwa Kuuona ukweli kuwa,Sasa anashindania Golden 🥾 na wachezaji ambao waliocheza hii ligi miaka nenda rudi,Tena yeye OKELO akiwa ameingia dirisha dogo la msimu huu " acheni unazi "
Duh kwani uyo Simba ajawai kunufaika kwenye hii ligi kuu ndiyo mara ya kwanza jana wachambuz mtafika mmechoka
Leo halijadiliwi goli haramu la Mpanzu ??
Jeff kanichekesha sana leo anasema imefika zamu ya simba kunifuika na makosa ya
Duh🙄 ila “Hans Et Juma anamiaka 47 ah ah aaaaah 😂😂😂
We unayezungumzia ku strangle kwa OKELO kwenye game zake za Mwanzo alipokuaja -- kwani wewe ulitaraji asistragle,lakini unashindwa Kuuona ukweli kuwa,Sasa anashindania Golden 🥾 na wachezaji ambao waliocheza hii ligi miaka nenda rudi,Tena yeye OKELO akiwa ameingia dirisha dogo la msimu huu " acheni unazi "