Simba inatakiwa ipate mechi hizi mpaka mwisho simba itaiva, kimataifa itafanya vizuri.
J
johnaura452 months, 3 weeks ago
Nikweli ilibidi irudiwe,refa usimlaumu,Mpanzu alitoka mgongoni kwa refa,mshika kibendera ndio alishindwa kuamuwa,lakini ndio tumeshinda kwa makosa ya kibinadamu,kama wanavyonufaika Uto😂😂😂😂
B
brenocosmos372 months, 3 weeks ago
Safi sana dosa
jessedavenport8532 months, 3 weeks ago
🎉🎉🎉
S
sébastienraven352 months, 3 weeks ago
Dossa unajua kaka🎉🎉
jamesstream972 months, 3 weeks ago
Dossa Traore, Dossa Mandonga Dossa wa Salome... Kazi nzuri ila milio ingekua mingi kama penati ingerudiwa.
babyberry2 months, 3 weeks ago
Interview ya Uchebe yanga nyuma yake Dosa inasikika sana😂😂😂 sijui akitoka hapo itakuaje kwa dosa jmn 😂From Mozambique 🇲🇿 sabiki damu wa❤❤❤Nyama
D
diane_thompson2 months, 3 weeks ago
Dosa kama semaji la caf Amed ally uchoki kuwasikiliza
ross_shepherd2 months, 3 weeks ago
Naomba namba ya salome
L
laurencebailly2562 months, 3 weeks ago
Dosa mwambie salome tunaomba tumuone
R
robin_eaton2 months, 3 weeks ago
Namuona mandevu anapiga kelele kule nyuma
R
rolando_zayas2 months, 3 weeks ago
Sio mashamburizi tuu tumepeleka moto
M
melissa_haynes2 months, 3 weeks ago
Dosa nomekwambia wewe si mwana soka Simba hajaongoza ligi Bali aliongoza mchezo mmoja
kristen_brooks2 months, 3 weeks ago
Mambo hayo yangeanza toka ligi inaanza apo dossa. Umechemka
Dossa anavutia kumsikiliza
Simba inatakiwa ipate mechi hizi mpaka mwisho simba itaiva, kimataifa itafanya vizuri.
Nikweli ilibidi irudiwe,refa usimlaumu,Mpanzu alitoka mgongoni kwa refa,mshika kibendera ndio alishindwa kuamuwa,lakini ndio tumeshinda kwa makosa ya kibinadamu,kama wanavyonufaika Uto😂😂😂😂
Safi sana dosa
🎉🎉🎉
Dossa unajua kaka🎉🎉
Dossa Traore, Dossa Mandonga Dossa wa Salome... Kazi nzuri ila milio ingekua mingi kama penati ingerudiwa.
Interview ya Uchebe yanga nyuma yake Dosa inasikika sana😂😂😂 sijui akitoka hapo itakuaje kwa dosa jmn 😂From Mozambique 🇲🇿 sabiki damu wa❤❤❤Nyama
Dosa kama semaji la caf Amed ally uchoki kuwasikiliza
Naomba namba ya salome
Dosa mwambie salome tunaomba tumuone
Namuona mandevu anapiga kelele kule nyuma
Sio mashamburizi tuu tumepeleka moto
Dosa nomekwambia wewe si mwana soka Simba hajaongoza ligi Bali aliongoza mchezo mmoja
Mambo hayo yangeanza toka ligi inaanza apo dossa. Umechemka
HUYU JAMAA SIJUI DOSA NAONA WENZAKE WANAMPAKATA SIYO BURE🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe dosage wewe
Dosa hama yanga wanakudhalilisaha sana.
Mianya waliziba na mala zote magoli yalikoswa sana, kuziba mianya yote basi Simba asingefika golini kwa dodoma