©TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA --------------------------------------------------------------------------------- JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM APA: REPORT TO US If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest. COPYRIGHT VIOLATION For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us [email protected] Welcome to REAL in the right place, by accessing Entertainment, Fashion and Sports news from within and outside the borders of Tanzania, our goal is to provide you with reliable and accurate information. Please click the SUBSCRIBE button to become a family member of this channel
ADVERTISEMENT
Mwambieni na huyo kisugu azungumzie jambo hilo
LUGANO NI SHABIKI WA SIMBA KENGE HUYU
Mbona goli la mwalimu hukuongea lilivyokataliwa,,,,,ulijua kwann limekataliwa?
Kiukweli hata position aliokuwa refa wakati penalty inapigwa ilikuwa sio eneo sahihi
Hamkuona Afcon iliyopita Senegal na Morocco walivyokuwa wanapigana mieleka kugombania taulo la Kipa wa Senegal?
kwani mpanzu si kajilusha hu pale
Matukiyo hayo angeliyafanya Yanga Bodi ya ligi wangewapiga faini milioni 30, na hilo la jana waliangalie
Kiukweli leo mmeongea point
Salamba acha kuongelea vitu visivoeleweka mbona yanga walivomwaga maji uwanjani mbona hukuilezea kuwa utopolo waache ushirikina
Nyinyi makuma nyote hapo
Huyu salamba ni yanga tipical mechi za yanga na uchawe wa yanga Huwa haongelei ila kwa Simba huyu salamba ni chawa wa yanga.
Lugano sasa umeanza kukua kiuchambuzi! Keep it up!!
Kweli kabisa hayo mataulo ni ishu na kumwaga dawa
Ikiwa ligi yetu ni ya 6 kwa ubora Afrika je, hiyo iliyo nafasi ya 10 ipoje?
Yaani Kwa namna tunavyokuheshimu salamba kwendelea kumshirikisha maongezi na uchambuzi Lugano unatukera sana
Ninyil machawa was yanga mnatoa po vu kwal lipi mbona mnajivunjia heshima?
Kiukweli mpira wetu unaenda pabaya Sana kwa matukio yakisenge kamahaya
Twahir Msenge Kweli Mpira Umeharibiwa Na Yanga Kwa Lipi Alieonekana Anaroga Simba Yanga Anaharibu Vipi Wewe Fala Mpumbavu
Zungumzieni na wale waliokuwa wanamwaga maji uwanjani kule Isamhyo stadium kwenye mechi ya Simba na yanga. Jamaa alitembea uwanjani na kutembea mpaka golini huku akimwagamwaga maji mpaka golini alikomalizia kumwaga maji yote. Usiseme kwamba Dodoma hawawezi kutuma ball boys. Wanaweza wakatumwa na wapinzani wengine wa Simba wanaojinasibu kucheza mechi za Simba. Na hao ball boys hawamilikiwi na Simba.
Wanaitetea Simba tu ukweli mmeongea vizuri.