Kazi nzuri mbwaduke mtaalamu Sanaa wa uchambuzi nakukubali Sanaa 🎉🎉🎉
jessedavenport8532 months, 3 weeks ago
Ata kwa kudhulumi sisi Bora tushinde mechi zetu
charansarna1172 months, 4 weeks ago
Kazi nzuri sana mwaduke
vincent_keer2 months, 3 weeks ago
Acha tushinde tu maana tumezulumiwa sana❤❤
J
jayeden682 months, 3 weeks ago
Kiukwel kwa hili tukio tmependelewa ila ni changamoto ndogo ndogo shida ya kuona
L
lisa_hayes2 months, 4 weeks ago
Safi sana
C
cynthia.costa2 months, 4 weeks ago
Angalia kwa makini wachezaji wote kabla kupigwa penati anza na golikipa alisimama kwenye mstali ! Kisha waliobakia pia ata wa Dodoma hawakuwa ndani?
H
harryjames2112 months, 3 weeks ago
Sawa, lakin na sisi tumedhurumiwa penarty nyingi sana, so acha tuendeleee tu kaka
S
shawnbird2422 months, 4 weeks ago
MIKIA FC WANATAFUTIWA UBINGWA WA LAZIMA
nicholas_marsh2 months, 4 weeks ago
Mtajua amjui refa ameshakubali kwamba ni goli
N
nermin.täsche2 months, 4 weeks ago
SAWA vipi lile Gori la Zanzibar
C
cynthia.horn2 months, 3 weeks ago
Mimi ni shabiki wa Simba ila ni kweli mpanzu aliwahi kutoka,refa hajaona Mpanzu aliwahi kutoka,ttizo mref wetu shida,mshika kibera litakiwa amsaidie,penalt ilitakiwa irudiwe
L
lisa_hayes2 months, 4 weeks ago
Iwe kwa kuiba au kuwafunga lazima,point tatu muhimu
G
gabrieltempest282 months, 3 weeks ago
bwaduke nakuerewa vyema sana timu ndongo ndongo hua zinateseka sana hasa simbaaaa
B
brenda.padilla2 months, 4 weeks ago
Penalty ingerudiwa
M
madeleinedelahaye6392 months, 4 weeks ago
Sawa tufanye sio gor lifuten bas na la nzanzibar tunataka
M
maytemarroquín7192 months, 3 weeks ago
Upo vzr Mwanduke, lkn aliyeingia ndn ya box kbl kupigwa penalty cyo mpanzu pekee ni pmj na wachezaji wa Dodoma jj, kw mujibu wa hyohyo pch yk bc angalia vzr utaliona hlo. Ahst kw kz mzr.
I
irmela_bärer2 months, 4 weeks ago
Pili na kipa mbona hukumzingumza alianza kutoka kabla ya kupigwa penalty. Wachezaji wa Dodoma pia waliingia. Hii penalty ilistahili irudiwe.
S
stéphane_lagarde2 months, 4 weeks ago
Tushazulumiw San sis
L
lucieadam192 months, 3 weeks ago
Safi sanaaa point 3, zipo kibindoni iwe iwavyo lkn tumezipata good job!! Mpanzu!
Kazi nzuri mbwaduke mtaalamu Sanaa wa uchambuzi nakukubali Sanaa 🎉🎉🎉
Ata kwa kudhulumi sisi Bora tushinde mechi zetu
Kazi nzuri sana mwaduke
Acha tushinde tu maana tumezulumiwa sana❤❤
Kiukwel kwa hili tukio tmependelewa ila ni changamoto ndogo ndogo shida ya kuona
Safi sana
Angalia kwa makini wachezaji wote kabla kupigwa penati anza na golikipa alisimama kwenye mstali ! Kisha waliobakia pia ata wa Dodoma hawakuwa ndani?
Sawa, lakin na sisi tumedhurumiwa penarty nyingi sana, so acha tuendeleee tu kaka
MIKIA FC WANATAFUTIWA UBINGWA WA LAZIMA
Mtajua amjui refa ameshakubali kwamba ni goli
SAWA vipi lile Gori la Zanzibar
Mimi ni shabiki wa Simba ila ni kweli mpanzu aliwahi kutoka,refa hajaona Mpanzu aliwahi kutoka,ttizo mref wetu shida,mshika kibera litakiwa amsaidie,penalt ilitakiwa irudiwe
Iwe kwa kuiba au kuwafunga lazima,point tatu muhimu
bwaduke nakuerewa vyema sana timu ndongo ndongo hua zinateseka sana hasa simbaaaa
Penalty ingerudiwa
Sawa tufanye sio gor lifuten bas na la nzanzibar tunataka
Upo vzr Mwanduke, lkn aliyeingia ndn ya box kbl kupigwa penalty cyo mpanzu pekee ni pmj na wachezaji wa Dodoma jj, kw mujibu wa hyohyo pch yk bc angalia vzr utaliona hlo. Ahst kw kz mzr.
Pili na kipa mbona hukumzingumza alianza kutoka kabla ya kupigwa penalty. Wachezaji wa Dodoma pia waliingia. Hii penalty ilistahili irudiwe.
Tushazulumiw San sis
Safi sanaaa point 3, zipo kibindoni iwe iwavyo lkn tumezipata good job!! Mpanzu!