SIO MARA YA KWANZA, ALISHAMPATIA ASSIST PERCY TAU, KTK DABI YA ZANZ BADO KUNA MAKOSA KADHAA HAYAKULETA MADHARA. HAIWEZEKANI GORI 3 UZEMBE WA BEKI WA KATI.
R
rodrigo.mendes3 months ago
Aathirike Tu hakuna kukosea vile kauzaaaaa,
G
gabrieltempest283 months ago
Goli la pili ndio amezingua sana half anakuwa mkali yeye
C
charles_renard3 months ago
Akikosea Diara anachangiwa.
B
beth_burton3 months ago
Wewe dula mtu wa mpira unaongea ujinga gani? Ni juzi tu Mwamnyeto kawanusuru Yanga kupokea kichapo kutoka kwa simba alipowasaizishia goli pale isamuyo na badala yake Yanga wakaamua kumtrendi Okelo kwenye mitandao kwa uongo wa kumpiga chenga Deruck wakaacha kitu halisi alichokifanya Bakari. Mama ake Bakari yupo sahihi. Yanga wana ukulanina fulani hivi wakipuuzi. Bakari kweli alifanya makosa lakini aliefanya makosa zaidi ni Diara ndie wana Yanga walipaswa kumpigia kelele lakini wamempongeza kwa kumpa ukapteni. Diara ndie atakaewakosesha Yanga ubingwa watch my words. Bakari tayari amemaliza msimu ndani ya Yanga.
abigailbrown4823 months ago
Yeye sio Mungu, akubali kukosea ajirekibishe hiyo ni ajira yake. Asiwe mfungwa wa mawazo. Afanye uamuzi kuendelea au kubadili timu. Hatuwezi kuhalalisha uzembe.
M
margotgilles4323 months ago
Mi Namlaumu sana Dube alikosa nafasi za wazi sana kwenye mechi ya Dodoma 😢
W
wandamyst13 months ago
Heavy weight nampendaga sana,nikijana anaechambua Mpira vzr sn,yaan habezi upande wowote
abigailbrown4823 months ago
Wew Koko ustushauri ulikua unasema DR afungiwe mechi😅😅😅😅 wew na nyeto hamzidian😅 mawazo yan kiufup lenu moja
B
brenda.padilla3 months ago
Angalieni hivyo vichwa vya habari msifanye kazi kimazoea
matthewmist723 months ago
Mwamnyeto ondoka yanga tafadhali tumekuchoka jinsi unafanya makosa ya mwendelezo hata game na farabat ulikuwa na kiwango bora kuwahi kutokea toka ujiuenge na yanga ,lakini mwisho wa siku ukaseti mpira kwenye njia wakatufunga
M
martin_hayes3 months ago
Wote wanao mkosoa mwamnyeto hawajui mpira wakikoxea wengine bahat mbaya ila bakari maksudi hakuna mtu anayependa kujifunga
L
liesalangern863 months ago
Mwanyeto sio mchezaji wa kuendelea kucheza yanga
advika_tara3 months ago
Amedanganywa na kalia asituletee utanga sisi sisi ni wanchiii
irene.humphries3 months ago
Huyu Dulla siku hizi hajitambui, nahisi kanunulika na gsm. Hivi kweli anaona sawa mwamnyeto kushambuliwa kisa diarra kakasirika?
D
daniel.cantu3 months ago
Aondoke
M
madeleinedelahaye6393 months ago
Dullah kuathirika kunaweza kutokea tu hata kama ni mkomavu ikitokea umepewa panch kali ya maneno na matusi halafu akili na moyo wako vikapokea kwa kufikiria mambo kadhaa yaliyo pita mkiwa katika hali nzuri na ngumu pia.
caitlin_macdonald3 months ago
c walikunywa chai?wamesahau?
irene.humphries3 months ago
😅
M
maytemarroquín7193 months ago
Mwanyeto akuna beki mule ata ukisema anacheza timu ya taifa sababu taifa lake akuna mabeki 2
SIO MARA YA KWANZA, ALISHAMPATIA ASSIST PERCY TAU, KTK DABI YA ZANZ BADO KUNA MAKOSA KADHAA HAYAKULETA MADHARA. HAIWEZEKANI GORI 3 UZEMBE WA BEKI WA KATI.
Aathirike Tu hakuna kukosea vile kauzaaaaa,
Goli la pili ndio amezingua sana half anakuwa mkali yeye
Akikosea Diara anachangiwa.
Wewe dula mtu wa mpira unaongea ujinga gani? Ni juzi tu Mwamnyeto kawanusuru Yanga kupokea kichapo kutoka kwa simba alipowasaizishia goli pale isamuyo na badala yake Yanga wakaamua kumtrendi Okelo kwenye mitandao kwa uongo wa kumpiga chenga Deruck wakaacha kitu halisi alichokifanya Bakari. Mama ake Bakari yupo sahihi. Yanga wana ukulanina fulani hivi wakipuuzi. Bakari kweli alifanya makosa lakini aliefanya makosa zaidi ni Diara ndie wana Yanga walipaswa kumpigia kelele lakini wamempongeza kwa kumpa ukapteni. Diara ndie atakaewakosesha Yanga ubingwa watch my words. Bakari tayari amemaliza msimu ndani ya Yanga.
Yeye sio Mungu, akubali kukosea ajirekibishe hiyo ni ajira yake. Asiwe mfungwa wa mawazo. Afanye uamuzi kuendelea au kubadili timu. Hatuwezi kuhalalisha uzembe.
Mi Namlaumu sana Dube alikosa nafasi za wazi sana kwenye mechi ya Dodoma 😢
Heavy weight nampendaga sana,nikijana anaechambua Mpira vzr sn,yaan habezi upande wowote
Wew Koko ustushauri ulikua unasema DR afungiwe mechi😅😅😅😅 wew na nyeto hamzidian😅 mawazo yan kiufup lenu moja
Angalieni hivyo vichwa vya habari msifanye kazi kimazoea
Mwamnyeto ondoka yanga tafadhali tumekuchoka jinsi unafanya makosa ya mwendelezo hata game na farabat ulikuwa na kiwango bora kuwahi kutokea toka ujiuenge na yanga ,lakini mwisho wa siku ukaseti mpira kwenye njia wakatufunga
Wote wanao mkosoa mwamnyeto hawajui mpira wakikoxea wengine bahat mbaya ila bakari maksudi hakuna mtu anayependa kujifunga
Mwanyeto sio mchezaji wa kuendelea kucheza yanga
Amedanganywa na kalia asituletee utanga sisi sisi ni wanchiii
Huyu Dulla siku hizi hajitambui, nahisi kanunulika na gsm. Hivi kweli anaona sawa mwamnyeto kushambuliwa kisa diarra kakasirika?
Aondoke
Dullah kuathirika kunaweza kutokea tu hata kama ni mkomavu ikitokea umepewa panch kali ya maneno na matusi halafu akili na moyo wako vikapokea kwa kufikiria mambo kadhaa yaliyo pita mkiwa katika hali nzuri na ngumu pia.
c walikunywa chai?wamesahau?
😅
Mwanyeto akuna beki mule ata ukisema anacheza timu ya taifa sababu taifa lake akuna mabeki 2