WAFANYAKAZI WAZIMIA MSIBANI WAKIMUAGA BOSS WAO
ADVERTISEMENT
Comments 38
alix_legendre:
Nawaonea huruma na hii Hali ilivyokuw ngumu wengne ni tegem…
More Like This
10:32
ZINDUNA EP 23 || AFRICAN LOVE STORY | HADITHI YA KUVUTIA. #simulizimedia #simulizi #zinduna
Entertainment
2.7k
100
0:13
The way Eze greets new signing Ezri Konsa 🤣
Entertainment
8.0k
100
2:46
Lucy's Undercover Plan #therookie #tvshow #shorts #lucychen #timbradford
Entertainment
35.3k
53
0:51
#luckygameplay
Entertainment
16.6k
46
0:11
Jennie forgot that she was supposed to fly up !!!🥲🥲 #blackpink
Entertainment
12.3k
33
0:50
Social Anxiety FEARS Them 😂
Entertainment
27.9k
99
0:50
ازاااي البطيخة المطاط !! 😱😂
Entertainment
196.4k
40
0:16
Yamal Found the amazing Teeth-Whitening Strips 😂🦷 #football #haaland #parody
Entertainment
67.1k
0
You've reached the end
Nawaonea huruma na hii Hali ilivyokuw ngumu wengne ni tegemezi😢 Mungu awatie nguvu sna
Poleni sana ndugu zetu wa Tanzania Mungu awape subra💔😭😭😭😭😭
Hapo ndo ujue kuna vichwa vikitoweka, vinabadilisha maisha ya familia flani.
Poleni Sana mwenyezi mungu awape subra Sana
Yan hapo wanalia na mengi masikini uhakika wa kazi haupo tena😢😢😢 Mungu awapiganie aisee💔
Jamaa inaonekana alikuwa mwema sana, sio rahisi 😢😢, Mungu asimame nanyi ndugu zetu
Poleni sana kweli inauma sana mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigum
Poleni sana kwa msiba wa boss wenu hakika kipindi hiki kigumu kitapita kwa uwezo wake allah
Mungu mkubwa inshallah walie fanya hili jambo washikwe haraka sana
Wauwaji popote mlipo mtailipia iyo damu mloimwaga
Kweli inauma sana jamani poleni sana Mungu akawe faraja kwenu
Sasa hizo pesa walizoiba kweli zinaraha gani na hali hii
Poleni haki hiki kilio kiwafikie wahusika
Waliajiriwa wanawake tu?
Ni wpii hku na boss mwenywe ni nani 😢😢😢
Poleni sana ila wengine wanaigiza kulia lakini hawalii bali wanapiga kelele tu kama huyo dada wa kwanza kabisa anapiga kelele ahaaaaaa!!?!!
Kwa kweli msiba unaumiza wengi. Wafanyakazi wake kuwaweka katika mazingira mazuri. Uniform zao ni safi sana
Mwenyezimungu Awapeeeni subrah kwa nyoteeeni na marehemu Allaah Atamlipiyaa .. riziki zenu maadaam muhaii Allaah yupoo pamojaa na nyii 😢😢😢
Poleni sana M/Mungu ampumzishe kwa Amani
Alikuwa anahusika na nini by then poleni sana wadau Mungu awape faraja kwa hali mnayopitia