Ahmed ally mashaallah huwezi kumfananisha na msemaji yoyote ule. Kwanza anajiamini anasifa zote kuwa msemaji wa Simba sports club mola amzidishie pia ampe afya njema msemaji wetu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
A
abeerbath4073 months, 1 week ago
Wasemaji wa team ndogo hua wana maneno mengiiiiii. Ila huyu wa team kubwa yuko very calm
F
frédérique_weiss3 months, 1 week ago
Cool and collected. Mfundishe kochi wa Mashujaa kujibu maswali kwenye interview.
Ahmed ally mashaallah huwezi kumfananisha na msemaji yoyote ule. Kwanza anajiamini anasifa zote kuwa msemaji wa Simba sports club mola amzidishie pia ampe afya njema msemaji wetu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wasemaji wa team ndogo hua wana maneno mengiiiiii. Ila huyu wa team kubwa yuko very calm
Cool and collected. Mfundishe kochi wa Mashujaa kujibu maswali kwenye interview.
/JJYT7k-_aU4?si=KYQLeeoWqwTshUYa
Da mwagala udugu wangu huku umeyakanyaga 😂😂😂