ARUSHA: NYOTA wa zamani wa timu ya taifa ya England na klabu ya Manchester United, Rio Ferdinand, amesema hawezi kueleza kikamilifu hisia zake baada ya kushuhudia vivutio vya utalii vya Tanzania, hususan Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Baada ya kuona uhamaji wa nyumbu na mandhari ya Serengeti, Ferdinand alisema hakuna maneno, picha wala maelezo yanayoweza kueleza uzuri aliouona akiwa nchini Tanzania. Ferdinand anaendelea na ziara yake nchini inayolenga kutangaza utalii wa Tanzania pamoja na kuhamasisha maendeleo ya michezo na vijana. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: https://www.facebook.com/Spotileo-176... HabariLeo: https://www.facebook.com/habarileo/ DailyNews: https://www.facebook.com/dailynewstz/ INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09
ADVERTISEMENT
Tanzania ni nchi nzuri sana daaah angalia maajabu ya mbuga ya serengeti
Viva Tanzania
Legend RIO
Kuna mijitu kwenye hii nchi Bado wako nyuma sana hawajui thamani ya hichi kinachofanyika hapa faida yake makonda sio chizi yule mwamba ni mbunifu sana .sema hii nchi ngumu sana hii yaan Kuna watu ubishi tu aaaaa sijui bhana
Tatizo nipale wazri wa michezo ana pofanya kazi ya wizara ya utarii
Kwa ziara hii usishangae idadi ya watalii ikiongezeka hii ni good advertisment ya nchi yetu.
Mbunge wangu kipenzi msukuma umeona umuhimu wa ziara ya rio makonda akili nyingi hongera sna pambana atue na ronaldo tz
Hakuna kitu hapo. Upigaji tu😂😂😂
Kama tunataka kuinua mpira wetu ili jambo linatakiwa liwe endelevu mana ni moja ya njia ya kujenga mahusiano mazuri na wachezaji maarufu duniani. Big up Makonda ni ubunifu mzuri.
❤
Amazing Thanks for your support King Rio
Piga kazi mzee
Rio...Tanzania is beatiful brother, our only problem is corrupt politicians,who act like Saints when meet them but in reality they are evil,
Wacha ya utalii anaweza akaridhishwa na kuipenda nchi akafungua academy za michezo
Eheee aliposhindwa ikawaje sasa