0:00
1:45
1:45

RIO ASHINDWA KUJIZUIA ALIYOYAKUTA TANZANIA

Sports

ARUSHA: NYOTA wa zamani wa timu ya taifa ya England na klabu ya Manchester United, Rio Ferdinand, amesema hawezi kueleza kikamilifu hisia zake baada ya kushuhudia vivutio vya utalii vya Tanzania, hususan Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Baada ya kuona uhamaji wa nyumbu na mandhari ya Serengeti, Ferdinand alisema hakuna maneno, picha wala maelezo yanayoweza kueleza uzuri aliouona akiwa nchini Tanzania. Ferdinand anaendelea na ziara yake nchini inayolenga kutangaza utalii wa Tanzania pamoja na kuhamasisha maendeleo ya michezo na vijana. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: https://www.facebook.com/Spotileo-176... HabariLeo: https://www.facebook.com/habarileo/ DailyNews: https://www.facebook.com/dailynewstz/ INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

ADVERTISEMENT
Comments 15 john.jensen: Tanzania ni nchi nzuri sana daaah angalia maajabu ya mbuga …