VIDEO YA UWANJA WA YANGA/NIKAMA UWANJA WA BARCELONA NI HATARI AFRICA NZIMA
ADVERTISEMENT
Comments 20
james_west:
Bila kuficha uwanja utakapokamilika utaongeza eshima ya nch…
More Like This
1:05
HII NDIO RECORD MPYA YA KIKOSI CHA TIMU YA YANGA
Sports
160
2
5:35
Arsenal vs Coventry City 3-0 Highlights & All Goals (Premier League 2026/27) Arsenal Coventry
Sports
858
0
1:56:13
Arsenal vs Coventry City I Video Game Simulation I eFootball PES 2021 Live Stream I 22 August, 2026
Sports
326
2
0:16
Phillies lands All-Star closer to Jhoan Duran before the MLB trade deadline 0° 👀🔥 #jhoanduran
Sports
1.5k
2
0:12
What else were you expecting, Liam? 🤨#F1 #RedBullRacing #DutchGP
Sports
12.5k
0
0:11
His Robot Broke In Front Of Him 💔
Sports
2.2k
11
2:59
Who's on my head? - Viktor Gyökeres and Leandro Paredes
Sports
9.5k
0
0:47
Ranking The Best Aura Soccer Moments 2
Sports
10.1k
8
You've reached the end
Bila kuficha uwanja utakapokamilika utaongeza eshima ya nchi na jiji la dar es salaam kwa ujumla, lakini pia itafungua milango kwa klabu zingine kushawishi wawekezaji wake kujenga viwanja vya kisasa, binafsi napongeza hatua hiyo big up sana klabu ya young africans- napenda kuona nchi ya Tanzania ikipiga hatua kuongeza idadi ya viwanja bora vinavyojengwa vikiwemo vya selikali vya ku host Afcon 2027 arusha,dodoma pamoja na kule zanzibar- na tukiendelea na utaratibu huu huenda miaka kadhaa Mbele tukawa na Namba nzuri zaidi kwenye ubora wa ligi barani Africa, nchi nzuri iendane na miundombinu bora ngazi ya Michezo Naipenda nchi yangu ya Tanzania, ,
❤❤❤❤❤yanga
Muonekano tu wa picha inaonyesha itabaki tu kwenye picha😊
Jamn mimi ni shabiki wa yanga nina shauku na huu uwanja Mungu asaidie ukamilike
Hersi na GSM andikeni historia yanga na ninaona hiyo maana hata rangi mlizoziweka kweli inatupa imani kuwaamini
Yesu ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI ( Yohana14:6 Warumi10:9-10).
NAMI py natamani ivyo
Daima mbeleeee
❤❤❤❤❤
Yanga bingwa
TIME WILL TELL
Mshajeng
Unahayo mambo unayiyataja au utakua na hayo mambo? We presenter vip
Kongole Yanga
Wananchi 2nawatu
Munatuletea maelezo yalioandikwa kwenye hizo video, kiukweli huo uwanja hatuuoni kutokana na hayo maandishi.
We huoni goli zipo tatu
Mtabakia na picha uwanja mtausikia kwenye bomba
❤❤❤
❤❤❤