Yamefungwa magoli matatu.... chuma mbili zikiwekwa kambani na Allan Okello na goli lingine likifungwa na Mudathir Yahya kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam.
Hii ni Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.
ADVERTISEMENT
Comments 100leon_rogers:
Kama achiwa na coast jana.
Kama achiwa na coast jana.
Wengne wanajidai nayule Mzee wamiaka 78 jmn sisi tupo nakitoto Cha 2000
😂😂😂 yanga na singida wanachekesha sanaa
Ugandans🇺🇬🇺🇬 here, Okello what a player🇺🇬
Swali langu moja tu miwani katoa wapi uyu dogo mtukutu haki😅😅😅
Kweli ni kitu na dadaake likipa limesima tu
Mtoto alikuwa anacheza ma mama😂😂😂😂
Kolo akishinda ni uwezo binafsi yanga akishinda ananunua mechi na si zimebaki mechi sita tunanunua zote na ubingwa tunabeba 5 times in a row
metacha , hilo goli la kwanza kaachi, ndio maana wakamtoa .kaachia kabisa
Yanga bingwaàaaaassssssss
Ila mpira 😁😁
Simba wamekaa keleleni hata masaa 24 hayajaisha jmn 🤣 wameludi chini kama kungulu😂😂 yanga bigwa
Okelo ni noma sana akirud azizi key patachimbika
Msimu huu baraka mpenja anatangaza sana mechi za uto 😢😢
Jamani sure boy farid kibwana tunaomba wawe cheza
Ila mpenja..Eti 0321 😂😂
Pwagu na pwaguziiiiiii😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Yanga mnatuharibia sana ligi yetu ya NBCPL. Goli gani kipa anapigiwa faulo alipo na mpira anauangalia tu duuuuuh 😂😂😂😂😂 haya bhana
Jmn Azam 😂Leo mumelusha fasta hata dakika 20 hazjapita tangu mpile uuishe yanga bi
Ndugu moya