Jiunge nasi kupitiaa mitandao yetu yakijamii: FACEBOOK: https://www.facebook.com/minotv INSTAGRAM: https://www.instagram.com/minotv_tz/ TIKTOK: https://www.tiktok.com/@minobongo25
Sign in to join the conversation
Mwanya amejiamulia mambo kwa haraka
Fey nakupenda kwa sababu muda wote unacheka sana
Fay Momo wewe Unamukosi Waku achwo Zompa Ali kuacha bila sababu.
Wasanii wetu tunawakubali sana ila wanaharaka na mambo hii ni changamoto.
Apo kweny penz la mkataba ndo kanikosh nmepat njia 😂😂
Dada achana naye Mwaya jikaze tuu Mungu yuko ❤❤❤
Nlijua mnajifanyisha kumbe mlikua mnakula kwl, i say kuna wa2 watafika mbinguni wamechoka vbaya mno❤🎉😂
Duuuh dada fiyi njo tufanye wimbo wa gospel achana nao hao Mungu anakupenda sana
Sasa maisha ya kujiuza nayo maisha kweli duh
Million kumi myanya apate wap iyo Dem muongo hana ela uyo Dem tunampa mda tu asjekulilia watu wamchangie tu
4:40 alikuja kuku kula tu
Ww ni mpira ukitoka apo kagawe kwa kidege
Kumbe alienda kahama basiiiii
Wewe feiy uturiye uolewe acha kuchezewa nakilamtu umkumbuke mungu
Me huyu dada nampenda maan hata akiachika ni kama hajaachika tu ❤❤
Bongo bwanaaaaaa tunapenda kiki
Dahaaaaaa
Izo nilaaan nenda kamwombe msamaa mama anjel
We naye mapenzi mapenzi fanya kazi acha maneno mengi
Kumbe kunapenzi la makataba na Mii Sijuiii 😅😅😅
Mwanya amejiamulia mambo kwa haraka
Fey nakupenda kwa sababu muda wote unacheka sana
Fay Momo wewe Unamukosi Waku achwo Zompa Ali kuacha bila sababu.
Wasanii wetu tunawakubali sana ila wanaharaka na mambo hii ni changamoto.
Apo kweny penz la mkataba ndo kanikosh nmepat njia 😂😂
Dada achana naye Mwaya jikaze tuu Mungu yuko ❤❤❤
Nlijua mnajifanyisha kumbe mlikua mnakula kwl, i say kuna wa2 watafika mbinguni wamechoka vbaya mno❤🎉😂
Duuuh dada fiyi njo tufanye wimbo wa gospel achana nao hao Mungu anakupenda sana
Sasa maisha ya kujiuza nayo maisha kweli duh
Million kumi myanya apate wap iyo Dem muongo hana ela uyo Dem tunampa mda tu asjekulilia watu wamchangie tu
4:40 alikuja kuku kula tu
Ww ni mpira ukitoka apo kagawe kwa kidege
Kumbe alienda kahama basiiiii
Wewe feiy uturiye uolewe acha kuchezewa nakilamtu umkumbuke mungu
Me huyu dada nampenda maan hata akiachika ni kama hajaachika tu ❤❤
Bongo bwanaaaaaa tunapenda kiki
Dahaaaaaa
Izo nilaaan nenda kamwombe msamaa mama anjel
We naye mapenzi mapenzi fanya kazi acha maneno mengi
Kumbe kunapenzi la makataba na Mii Sijuiii 😅😅😅