Mademu wa mjini,kuna aibu wanazitaka wenyewe yaani unaitwa na mwanaume sehemu alafu bar kila kitu unamtegemea mwanaume,Mtu hata hela ya boda huna..😂
Ila kiboga hapana kwa kweli
ADVERTISEMENT
Comments 100steven.gonzalez:
MUNGU AKUFUNGULIE MILANGO YA HERI NA BARAKA, AKAJIBU MAOMBI…
MUNGU AKUFUNGULIE MILANGO YA HERI NA BARAKA, AKAJIBU MAOMBI YAKO YOTE. KAMA UNAAMINI BASI SEMA AMEN 🙏🙏
Leo hata mm nipate za kwangu kuwahi ndo kupata 😂😂😂
Napenda ukiigiza kiboga😂😂😂
Kiboga we ni janja janja , ulitaka Tu upate mubaba huko bar 😂
Wa kwanza mimi😂😂😂
Kiboga ushukuru Mungu uliambiwa kuku wameishaa ungekomaa😂😂
Napenda ukiigiza kiboga🎉🎉🎉🎉🥰
Toa nyingi nyingi namisigi kinoma Jana nikaanza kutafuta kama kunaambayo sijaiona
MwenyezMungu awafanyie wepes mpate ridhiki halali na awaepushie ajali mbali mbali za bara balani
Nimechekaaa😂😂😂 ungekuwa unatoa full move bhnaaa
😅😅😅😅😅😅😅😅nakupenda joti weeeee
Nimeolewa 😂😂😂
Mi siendag mahal bila ela uwi kwanza afike kwanza yeye kiruuu😂
muhudumu 🤣🤣🤣
Tunao cheki tupo kitandan tujuane jaman 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂jmnii mbavu zanguu
Uyu jamaa chizi😂😂
Safi sana. Nawapata hapa DK
NAMPENDA KIBOGA MIMI JAMANI KAAAH 🫡🫡🥰🥰 MOJA KATI YA NDOTO YANGU NIKUJA KUMUONA KIBOGA !!!
🔥🔥🔥