#Bhailam ⭐ Disclaimer This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel! Subscribe hapa : https://www.youtube.com/@Bhailamkhan/ Subscribe to Comedy Plus: https://www.youtube.com/@ComedyPlustz/videos Like Ukurasa wetu wa Facebook :https://www.facebook.com/Comedyplustz/
ADVERTISEMENT
Wanaoamini Bhailam atarudisha kampuni gonga like tukipeana moyo...
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🫵🏽 Munao comment jitahidin muwe wabinifu mana sisi wengin furaha zetu zipo kwenye comment 😂😂😂
Kuna mda mungu anakupitisha kwenye magumu kwaajili ya kesho iliyo njema🤲🤲🙏🙏
Paka sasa kupitia movie hii ya mtaalamu bhailamu 1. Usimwamiini mwanadamu yoyote akusimamie mipango yako ya maendeleo hata kama unamkubali kiasi gani. 2. Katika maisha hadui yako namba moja ni ndugu yako wa karibu kabisa. 3. Kila mtu anakuja kwa wakati maalumu kwenye maisha yetu.
Tunaoipenda hii movie 🎬 like hapa
So sad kabisa, Ila naimani bailham atarudisha kila mali yake yote kama nawewe unaamini gonga like
🫡🫡🫡kwa vijana wa bailahm
Aliye muona yule dada aliesema wanawake wewusi nkwabaya gonga like 😂
Wakwanza shabiki kutoka kenya nipe likes ❤️❤️❤️
Tulo anzia ep 1 mpaka ep hii ya 21 tujuane kwa ku like 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Chiku wajina wng pole na msiba wa udgu wko😢😢😢😢
bila kuchelewaaa
Wanaomkubali shabani na mjomba wake bashiru weka like 😂
Ma Mali zako ambazo zimeingia ndani ya mikono ya warafi zitarudi tuuu na utafuraia maisha Yako kama mwanzo na mtoto mzuri Naomi
😮duuh wamempa naomi wakati mgumu isei lk n km waamin bhailam atarudi sawa n kila kitu kitakua sawa gonga tano🎉🎉
Aki ya mungu bahilam unajua , yani africa nzima ukitoa mimi ni wewe ❤❤
Wow maua 🎉🎉🎉ya ndokta anakaa dokta kweli
Nkajua tu lazima leo itoke hii movie 🥰🥰🥰
KAZI njema kwaiyi KAZI kwakuwa muda umeanza zingatiwa kabisa
Mzenji in the House Nimewahi sannnnna 😂