Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV Follow us on Social Media Platforms Instagram: Crown FM - https://www.instagram.com/crownfmtz/ Crown TV - https://www.instagram.com/crowntvtz/ Twitter (X): CROWN MEDIA SWAHILI: https://twitter.com/CrownMediaTZ CROWN MEDIA ENGLISH: https://twitter.com/CrownMediaEN Facebook: CROWN MEDIA: https://www.facebook.com/profile.php?id=61556920898213&sk=followers TIKTOK: - https://www.tiktok.com/@crownmedialive?lang=en SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: https://www.youtube.com/channel/UCWHlCJN-WTamGWp4E6ZrhsA
ADVERTISEMENT
Yesu ni mungu aliejifunua kwa njia ya mwana
Kipindi Cha magufuli huwezi kuona huu wizi. Hapo wame mlipa ma bilion ya pesa kuja tu lengo watu wasi jadili mikutano ya chadema wata letwa wengi na wata ondoka ila tupo pale pale chadema milele 😂😂😂😂😂😂
Wivu nikitu kibaya sana maishani Mungu niepushe nawivu wakininga
Tanzania nikichwa cha mwendawazimu
Kwel Tanzania yetu Ina watu wasiyo jielewa na matumiz mabaya ya akili mnamkalibisha kwa shangwe wakat wao wanatudharau na kutuita nyani ee mungu tupe maarifa
Waandishi uchwara huuliza maswali yasiyo na kichwa
KWANI SIMLISEMA LIMEFIKA ULAYA HILO GOLI,,AU FIO KATOKEA MWEZINI
TZ BADO TUNAHITAJI MABADRIKO MAKUBWA SANA ILI KUHAKIKISHA TUNAACHANA NA HUU UPUUZI.
Ila tanzania
Ferdinand sio muhimu hata kidgo jenga viwanja, shule za mpira za kisasa tengeneza ajira kupitia michezo....hizi komedi ni sifa tu
Kwani huyu Ferdinand anao umuhimu gani? Hadi wanamuandalia ngoma eti na waziri Katibu mkuu wote wamekuwa VISHOIYA kwa mtu asiye na jambo la maana la kujifunza kwake.
NDO TATIZO LETU SISI WAFRIKA YAANI BAADA YA KUMUONESHA MAMBO YA KITAIFA NA MIKAKATI YETU KATIKA TIMU YETU YA TAIFA TUNAANZA KULETA USHABIKI HUO NI UMACHINGA SANA
YESU NI MUNGU AMEUMBA MBINGU NA NCHI
Utumwaaaaa Ulooooojeeèe huu jamaniii heeeeeeeeee kujaaaa kwa mjinga mmoja tu na watuu kuanza kukatishwa viunoooo ngoma fujooooo duuuuuuhhhhh mtihani huuuu😢😢😢😢 Ingetosha km hv tuu akaembezw sehemu za kukuza vipaji watoto yatima mbugaa na maeneoo mengine halasss
Kizuri chajiuza ukiona kitu huyo mstaafu hakijui ujue ni kibovu mnalazimisha mambo bila kujua huyo Hana ata cheo huko FIFA
Sio kweli yesu ni nabii sio mungu
🎉🎉🎉🎉
Good
Fanya kazi
Ila tanzania my nchi shikmoo 😂😂😂😂🙌🙌🙌