0:00
1:22
1:22

MVUTANO GOLI LA CHAMA: RIO FERDINAND ATOA NENO, MSEMAJI WA SIMBA vs YANGA WAVUTANA

Sports
ADVERTISEMENT

Comments 37

Sign in to join the conversation

Sign in
E
erick_pimenta 2 weeks, 6 days ago

Ally Kamwe yupo sahihi

M
mohammed.barrett 2 weeks, 6 days ago

Huyo mgeni wenu hakuuliza matokeo ilikuwaje?😂😂😂😂😂😂

M
marguerite_robin 2 weeks, 6 days ago

Wanakasirika wakiwa wapi

J
john.jensen 2 weeks, 6 days ago

Hawa waandishi wa namna hii huwa wanakuwa vichwa maji, hawafikirii mara mbili mbili kwa hicho alichokifanya kitaleta athari gani kwenye hili tukio ambalo lipo katika misingi ya kitafa na wala si uchochezi wa usimba na uyanga. Kiufupi huyu dada na hao waliomtuma lengo lao siyo sahihi, lengo lao ni kuharibu na wala si kujenga, hapo wanapandikiza kitu watutoe kwenye utaifa watulete kwenye usimba na yanga na kuvuruga malengo ya ujio wa mchezaji huyu nchini.

R
robert.maldonado 2 weeks, 6 days ago

Kwan hilo goli la mpra wa miguu au ngumi

matthewmist72
matthewmist72 3 weeks ago

Goli lenye ni of side

E
elaine_fry 3 weeks ago

Tz tuna skuli nyingi lakini Watanzania wengi wao na waandishi takribani woote tuna ukosefu wa Elimu, hatujitambui, goli ktk nchi la nini? hadhi ya goli inasaidia nini, Sakho alichukuwa kiatu Jee Tz imenufaika nanini? oky Washamsifia chama, sasa Yanga mujipe presha ya nini? itawanyima nini , ya skuli nyingi tunazidi ujinga

micheal.turner
micheal.turner 3 weeks ago

Dah kweli makolo wanajua kujitongozesha 😊😊😊😊😊😊

I
ianvoid39 3 weeks ago

Yaani Sipati picha jinsi Wachina wanavyotushangaa ambavyo tunabishania mambo ya kijinga kabisa kama haya!

V
vasudha_khanna 3 weeks ago

How about the goal of the young man of coastal union vs mbeya city

K
kevin.brown 3 weeks ago

goli likiwekwa kwenye mzani ni offside

J
jayeden68 3 weeks ago

Kwani chama yupo nchi gani?

C
cynthia.costa 3 weeks ago

Waandishi wengi wa bongo washamba kweli yan😅😅😅😅

keith.mitchell
keith.mitchell 3 weeks ago

Kama ilikuwa ni kupata maoni ya goli Bora au zurii basi angemuonyesha HATA MAGORI MATANO HIVI YA MSIMU HUU YALIFUNGWA NA WACHEZAJI TOKA VILABU TOFAUTI TOFAUTI" LAKINI KWA HILII NI USHAMBA TU BILA TUSOME NYAKATI PIA, WHY HAWA WATU WANALETWA KWA SASA!?

A
aprilclark960 3 weeks ago

me ni yanga lakin mwandishi yupo sahihi

V
victoire_chrétien 3 weeks ago

Wanapenda wafanye wao mazuri walitutangaza namabango kira Kona mpaka kwenye jezi waliandika goli 5-1 hiyo itawauma sana maama goli limekubalika duniani Tena wamefungwa watani .pole yao hayo sio maendeleo yakuiga mazuri ila wanaleta wivu wakichawi

M
maria_evans 3 weeks ago

Sisi tuna ushamba sana ambao hautusaidii , mwandishii unashindwa kutafta Crip hata za vijana wa kitanzania wazawa mkawa push kwa mkongwee huyo, wapate fursa kwa manufaa ya Taifa lako na team ya Taifaa,

S
shawn.henderson 3 weeks ago

Ajenda ni pamoja na michezo kwani akitangaza goli la chama sawa katangaza mpira wa Tanzania 🇹🇿 lkn kupitia goli bora la chamaaaaaaa

H
heathermerritt95 3 weeks ago

Tatizo ni Fikra za waandishi wengi zipo na mihemko sana, sidhani kama Meena Ally anafaa kumsindikiza Rio. Bora Mchambuzi wa Mpira kuliko waandishi Wana mihemko sana

V
victoire.lucas 3 weeks ago

MilladAyo tunaomba huyo dadayako sijui demu wako aache ushamba naushabiki ktk mambo ya nchi hizo acrobatic zimeshapigwa sanaaa huyo mgeni ni kwaajili ya tim ya Taifa kwanini asimuomyeshe magoli ya Samata,Msuva na hata goli la Feitoto wakati wa Afcon huu ni ujinga