Hawa waandishi wa namna hii huwa wanakuwa vichwa maji, hawafikirii mara mbili mbili kwa hicho alichokifanya kitaleta athari gani kwenye hili tukio ambalo lipo katika misingi ya kitafa na wala si uchochezi wa usimba na uyanga. Kiufupi huyu dada na hao waliomtuma lengo lao siyo sahihi, lengo lao ni kuharibu na wala si kujenga, hapo wanapandikiza kitu watutoe kwenye utaifa watulete kwenye usimba na yanga na kuvuruga malengo ya ujio wa mchezaji huyu nchini.
R
robert.maldonado2 weeks, 6 days ago
Kwan hilo goli la mpra wa miguu au ngumi
matthewmist723 weeks ago
Goli lenye ni of side
E
elaine_fry3 weeks ago
Tz tuna skuli nyingi lakini Watanzania wengi wao na waandishi takribani woote tuna ukosefu wa Elimu, hatujitambui, goli ktk nchi la nini? hadhi ya goli inasaidia nini, Sakho alichukuwa kiatu Jee Tz imenufaika nanini? oky Washamsifia chama, sasa Yanga mujipe presha ya nini? itawanyima nini , ya skuli nyingi tunazidi ujinga
micheal.turner3 weeks ago
Dah kweli makolo wanajua kujitongozesha 😊😊😊😊😊😊
I
ianvoid393 weeks ago
Yaani Sipati picha jinsi Wachina wanavyotushangaa ambavyo tunabishania mambo ya kijinga kabisa kama haya!
V
vasudha_khanna3 weeks ago
How about the goal of the young man of coastal union vs mbeya city
K
kevin.brown3 weeks ago
goli likiwekwa kwenye mzani ni offside
J
jayeden683 weeks ago
Kwani chama yupo nchi gani?
C
cynthia.costa3 weeks ago
Waandishi wengi wa bongo washamba kweli yan😅😅😅😅
keith.mitchell3 weeks ago
Kama ilikuwa ni kupata maoni ya goli Bora au zurii basi angemuonyesha HATA MAGORI MATANO HIVI YA MSIMU HUU YALIFUNGWA NA WACHEZAJI TOKA VILABU TOFAUTI TOFAUTI" LAKINI KWA HILII NI USHAMBA TU BILA TUSOME NYAKATI PIA, WHY HAWA WATU WANALETWA KWA SASA!?
A
aprilclark9603 weeks ago
me ni yanga lakin mwandishi yupo sahihi
V
victoire_chrétien3 weeks ago
Wanapenda wafanye wao mazuri walitutangaza namabango kira Kona mpaka kwenye jezi waliandika goli 5-1 hiyo itawauma sana maama goli limekubalika duniani Tena wamefungwa watani .pole yao hayo sio maendeleo yakuiga mazuri ila wanaleta wivu wakichawi
M
maria_evans3 weeks ago
Sisi tuna ushamba sana ambao hautusaidii , mwandishii unashindwa kutafta Crip hata za vijana wa kitanzania wazawa mkawa push kwa mkongwee huyo, wapate fursa kwa manufaa ya Taifa lako na team ya Taifaa,
S
shawn.henderson3 weeks ago
Ajenda ni pamoja na michezo kwani akitangaza goli la chama sawa katangaza mpira wa Tanzania 🇹🇿 lkn kupitia goli bora la chamaaaaaaa
H
heathermerritt953 weeks ago
Tatizo ni Fikra za waandishi wengi zipo na mihemko sana, sidhani kama Meena Ally anafaa kumsindikiza Rio. Bora Mchambuzi wa Mpira kuliko waandishi Wana mihemko sana
V
victoire.lucas3 weeks ago
MilladAyo tunaomba huyo dadayako sijui demu wako aache ushamba naushabiki ktk mambo ya nchi hizo acrobatic zimeshapigwa sanaaa huyo mgeni ni kwaajili ya tim ya Taifa kwanini asimuomyeshe magoli ya Samata,Msuva na hata goli la Feitoto wakati wa Afcon huu ni ujinga
Ally Kamwe yupo sahihi
Huyo mgeni wenu hakuuliza matokeo ilikuwaje?😂😂😂😂😂😂
Wanakasirika wakiwa wapi
Hawa waandishi wa namna hii huwa wanakuwa vichwa maji, hawafikirii mara mbili mbili kwa hicho alichokifanya kitaleta athari gani kwenye hili tukio ambalo lipo katika misingi ya kitafa na wala si uchochezi wa usimba na uyanga. Kiufupi huyu dada na hao waliomtuma lengo lao siyo sahihi, lengo lao ni kuharibu na wala si kujenga, hapo wanapandikiza kitu watutoe kwenye utaifa watulete kwenye usimba na yanga na kuvuruga malengo ya ujio wa mchezaji huyu nchini.
Kwan hilo goli la mpra wa miguu au ngumi
Goli lenye ni of side
Tz tuna skuli nyingi lakini Watanzania wengi wao na waandishi takribani woote tuna ukosefu wa Elimu, hatujitambui, goli ktk nchi la nini? hadhi ya goli inasaidia nini, Sakho alichukuwa kiatu Jee Tz imenufaika nanini? oky Washamsifia chama, sasa Yanga mujipe presha ya nini? itawanyima nini , ya skuli nyingi tunazidi ujinga
Dah kweli makolo wanajua kujitongozesha 😊😊😊😊😊😊
Yaani Sipati picha jinsi Wachina wanavyotushangaa ambavyo tunabishania mambo ya kijinga kabisa kama haya!
How about the goal of the young man of coastal union vs mbeya city
goli likiwekwa kwenye mzani ni offside
Kwani chama yupo nchi gani?
Waandishi wengi wa bongo washamba kweli yan😅😅😅😅
Kama ilikuwa ni kupata maoni ya goli Bora au zurii basi angemuonyesha HATA MAGORI MATANO HIVI YA MSIMU HUU YALIFUNGWA NA WACHEZAJI TOKA VILABU TOFAUTI TOFAUTI" LAKINI KWA HILII NI USHAMBA TU BILA TUSOME NYAKATI PIA, WHY HAWA WATU WANALETWA KWA SASA!?
me ni yanga lakin mwandishi yupo sahihi
Wanapenda wafanye wao mazuri walitutangaza namabango kira Kona mpaka kwenye jezi waliandika goli 5-1 hiyo itawauma sana maama goli limekubalika duniani Tena wamefungwa watani .pole yao hayo sio maendeleo yakuiga mazuri ila wanaleta wivu wakichawi
Sisi tuna ushamba sana ambao hautusaidii , mwandishii unashindwa kutafta Crip hata za vijana wa kitanzania wazawa mkawa push kwa mkongwee huyo, wapate fursa kwa manufaa ya Taifa lako na team ya Taifaa,
Ajenda ni pamoja na michezo kwani akitangaza goli la chama sawa katangaza mpira wa Tanzania 🇹🇿 lkn kupitia goli bora la chamaaaaaaa
Tatizo ni Fikra za waandishi wengi zipo na mihemko sana, sidhani kama Meena Ally anafaa kumsindikiza Rio. Bora Mchambuzi wa Mpira kuliko waandishi Wana mihemko sana
MilladAyo tunaomba huyo dadayako sijui demu wako aache ushamba naushabiki ktk mambo ya nchi hizo acrobatic zimeshapigwa sanaaa huyo mgeni ni kwaajili ya tim ya Taifa kwanini asimuomyeshe magoli ya Samata,Msuva na hata goli la Feitoto wakati wa Afcon huu ni ujinga