MVUTANO GOLI LA CHAMA: RIO FERDINAND ATOA NENO, MSEMAJI WA SIMBA vs YANGA WAVUTANA
ADVERTISEMENT
Comments 37
utkarsh.kalita:
Sasa km mtangazaji nimwanasimba angeweza kuonyesha goli la …
More Like This
1:05
HII NDIO RECORD MPYA YA KIKOSI CHA TIMU YA YANGA
Sports
160
2
5:35
Arsenal vs Coventry City 3-0 Highlights & All Goals (Premier League 2026/27) Arsenal Coventry
Sports
858
0
1:56:13
Arsenal vs Coventry City I Video Game Simulation I eFootball PES 2021 Live Stream I 22 August, 2026
Sports
326
2
0:16
Phillies lands All-Star closer to Jhoan Duran before the MLB trade deadline 0° 👀🔥 #jhoanduran
Sports
1.5k
2
0:12
What else were you expecting, Liam? 🤨#F1 #RedBullRacing #DutchGP
Sports
12.5k
0
0:11
His Robot Broke In Front Of Him 💔
Sports
2.2k
11
2:59
Who's on my head? - Viktor Gyökeres and Leandro Paredes
Sports
9.5k
0
0:47
Ranking The Best Aura Soccer Moments 2
Sports
10.1k
8
You've reached the end
Sasa km mtangazaji nimwanasimba angeweza kuonyesha goli la yanga 😢
me ni yanga lakin mwandishi yupo sahihi
Tuwacheni ushamba watanzania daah bado tupo nyuma sana sasa cha ajabu ni nini?japo mm ni simba lakini hii is to much.
Bongo bwana mtu kaja kwa mambo mengine then munamuuliza mambo ya kijinga hata chama mwnyew hamjui,wala simba,yanga hazijui ila kwa kuwa mjinga mpe cheo wacha
Watu wanatamba na vitu vya msingi kama ujenzi wa uwanja huku wengine mikia fc wakijikita ktk vitu visivyo vya msingi....kweli mikia fc ni mbumbumbu tu
Ajenda ni pamoja na michezo kwani akitangaza goli la chama sawa katangaza mpira wa Tanzania 🇹🇿 lkn kupitia goli bora la chamaaaaaaa
Nilichogundua yanga wamepanick😂😂
Jamaa huyo anawajaza vichwa tu😂😂😂
YANGA BINGWA
Asante Chamaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Vura makasiliko ya nini😅😅😂
😂😂😂uchawa uchawaa tuu
Meema Ally Unajua
WATANGANYIKA BHANA
Rio amekuja Kwa ajili ya taifa siyo Simba, wamekosea sana
Wanapenda wafanye wao mazuri walitutangaza namabango kira Kona mpaka kwenye jezi waliandika goli 5-1 hiyo itawauma sana maama goli limekubalika duniani Tena wamefungwa watani .pole yao hayo sio maendeleo yakuiga mazuri ila wanaleta wivu wakichawi
Tatizo ni Fikra za waandishi wengi zipo na mihemko sana, sidhani kama Meena Ally anafaa kumsindikiza Rio. Bora Mchambuzi wa Mpira kuliko waandishi Wana mihemko sana
How about the goal of the young man of coastal union vs mbeya city
Apo km angelishinda yangaa apoo Rio angelionaa upande wa Simba tu kwa rangi ya Jezi ya Simba
MilladAyo tunaomba huyo dadayako sijui demu wako aache ushamba naushabiki ktk mambo ya nchi hizo acrobatic zimeshapigwa sanaaa huyo mgeni ni kwaajili ya tim ya Taifa kwanini asimuomyeshe magoli ya Samata,Msuva na hata goli la Feitoto wakati wa Afcon huu ni ujinga