Director wa Christopher Nolan ameibua mjadala mkubwa mtandaoni baada ya kumchagua Lupita Nyong'o kuigiza Helen of Troy kwenye movie ya The Odyssey. Wakati baadhi wakisema talent ndiyo muhimu kuliko rangi, wengine wanaamini historia ya Kigiriki inabadilishwa ili kuendana na agenda za kisasa za Hollywood. Mjadala huo ulizidi kuwa mkubwa baada ya Elon Musk kuikosoa casting hiyo hadharani. Je, Hollywood inaongeza diversity… au inaandika upya historia?
ADVERTISEMENT
Yesu mwenyewe alikuwa mweusi alie igiza kwenye movie ni mzungu tena mwingereza.
Nakupenda Sana kwa kazi yako
Sometimes we need to be true, real and authentic, Elon isnt wrong.
Kama mask umebagua sio mbaya hamna cha kuwafanya
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
pamojasana
Inafanyika makusudi kupotosha ,historia ya vitu vingi imegeuzwa kichwa chini miguu juu. Hapa juu mmoja kasema vizuri, waingereza walimleta mwiingereza mwenzao Decon na kupotosha uhalisia vipi Yesu alionekana. Waitaliano Walimleta Claudia ameigize mama Maria, na sasa watu wengi wanaamini yule mu Italiano ndo mama Maria. Hvo hata hili linafanyika makusudi. Lkn kumbuka wawili wa hapo juu WalliiGiza hvo ili kutengeza ukuu wa mzungu. Vp huyu nafasi yake ina dhima gani.?
Mambo yote haya yatapita lakini neno lake bwana litasimama usibague mtu pesa huzikwi nazo ukifa
Yupo sahihi Elon lazima ufatishe walivyo
Hellen Troy lakini wanasema ni mweusi ajakosea