Saleh ni Mtu Mbaya sana na hataki aonekane machoni mwa jamii ya Watanzania.. Anapenda kujiona yupo sahihi ktk kila makala yake.
G
graciela_morales3 months ago
Wanaosema hivyo ni Tv 3 na wale crown. Majuha wa bush
M
martin_hayes3 months ago
Mimi binafsi nataka uwanja, swaga za kwamba GSM Atanyonya mimi sielewi uwanja tu.
T
tony_johnson3 months ago
Yanga yetu sisi tunaitaji uwanja TU thamani inapanda sisi hatuelewi Chochote tupo pamoja na uongozi makolo Yana roho mbaya
charansarna1173 months ago
👏👏👏🙏🎬
E
ericarguello2663 months ago
Hawana HOJA Wachambuzi na MAKOLO....Hakuna sehemu iliyosema mkataba wa kudumu , ni UPUUZI wao tu',...sisi tunajua KIOTA kitasimama na WATASHANGAA
michelle_bryan3 months ago
Walisema uwanja unajengwa kwenye laptop. Sasa wanaona unajengwa kweli wanaanza kuwashwa. Kwani unakuhusu nini. Usifikiri wao ndio wana maono. Hao ndio kina Lugano.
B
brendanhollow273 months ago
Wanaopiga kelele ni wapinga maendeleo ya yanga halafu wanatumwa Sasa huyo anayewatuma kuipinga yanga isipate uwanja hata Kama itaumizwa,kum make
J
johnaura453 months ago
Wacha waseme
A
andrew_martin3 months ago
Huyosio moo bwana unaumia ukiwa wapi
S
sabrina_king3 months ago
Asante kaka kwa maelekezo mazuri sana
caitlin_macdonald3 months ago
Ahsante kwa maelezo mazuri, wanaoandika sana negatively ni wale ambao waliamini haitawezekana sasa imewezekana kwa hiyo wanaumia
G
gaelhenriquedapaz4053 months ago
Watasema
abigailbrown4823 months ago
siyo Watanzania ni waandishi wa habari
H
hugo.ozuna3 months ago
Kiongozi unapataabu kuwaeleza hao ni mbumbu kama alivowaita Ragge wanajifanya wanajua kumbe ni mbumbu
V
vasudha_khanna3 months ago
Wana Yanga tunahitaji uwanja wetu,huo mikataba hauna shida kabisa,hata kama utaenda hadi mwisho wa Dunia-mradi tunapata share yetu endeleeni tu,najua wanaoongea sio Yanga .
S
silvia_garcía3 months ago
Watu wa simba ndio wamejipandikiza kama wa yanga hilo linajulikana kwa mfano mchungaji wa simba alex ngereza na yule mzee wa kujichubua yaani wengi ni simba hawapendi kuona yanga inanufaika na uwanja hivi mo atajenga uwanja yeye 80 simba 20 je kuna mtu alihoji
valentim_darocha3 months ago
maelezo mwanana hayana kona kweli kabisa maneno haya kosi daima mbele nyuma mwiko tunawaombea viongozi wetu afya njema mungu hawasimamie pamoja na wanachama na washabiki wapenda maendeleo kwa ujumla sisi ni kuweka pamba masikioni yasituvuruge maneno yasiyo ya msingi
Wamekosa hoja ni wivu tu
Saleh ni Mtu Mbaya sana na hataki aonekane machoni mwa jamii ya Watanzania.. Anapenda kujiona yupo sahihi ktk kila makala yake.
Wanaosema hivyo ni Tv 3 na wale crown. Majuha wa bush
Mimi binafsi nataka uwanja, swaga za kwamba GSM Atanyonya mimi sielewi uwanja tu.
Yanga yetu sisi tunaitaji uwanja TU thamani inapanda sisi hatuelewi Chochote tupo pamoja na uongozi makolo Yana roho mbaya
👏👏👏🙏🎬
Hawana HOJA Wachambuzi na MAKOLO....Hakuna sehemu iliyosema mkataba wa kudumu , ni UPUUZI wao tu',...sisi tunajua KIOTA kitasimama na WATASHANGAA
Walisema uwanja unajengwa kwenye laptop. Sasa wanaona unajengwa kweli wanaanza kuwashwa. Kwani unakuhusu nini. Usifikiri wao ndio wana maono. Hao ndio kina Lugano.
Wanaopiga kelele ni wapinga maendeleo ya yanga halafu wanatumwa Sasa huyo anayewatuma kuipinga yanga isipate uwanja hata Kama itaumizwa,kum make
Wacha waseme
Huyosio moo bwana unaumia ukiwa wapi
Asante kaka kwa maelekezo mazuri sana
Ahsante kwa maelezo mazuri, wanaoandika sana negatively ni wale ambao waliamini haitawezekana sasa imewezekana kwa hiyo wanaumia
Watasema
siyo Watanzania ni waandishi wa habari
Kiongozi unapataabu kuwaeleza hao ni mbumbu kama alivowaita Ragge wanajifanya wanajua kumbe ni mbumbu
Wana Yanga tunahitaji uwanja wetu,huo mikataba hauna shida kabisa,hata kama utaenda hadi mwisho wa Dunia-mradi tunapata share yetu endeleeni tu,najua wanaoongea sio Yanga .
Watu wa simba ndio wamejipandikiza kama wa yanga hilo linajulikana kwa mfano mchungaji wa simba alex ngereza na yule mzee wa kujichubua yaani wengi ni simba hawapendi kuona yanga inanufaika na uwanja hivi mo atajenga uwanja yeye 80 simba 20 je kuna mtu alihoji
maelezo mwanana hayana kona kweli kabisa maneno haya kosi daima mbele nyuma mwiko tunawaombea viongozi wetu afya njema mungu hawasimamie pamoja na wanachama na washabiki wapenda maendeleo kwa ujumla sisi ni kuweka pamba masikioni yasituvuruge maneno yasiyo ya msingi
Wameshindwa kuusemea mkataba wa😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊