#Bhailam ⭐ Disclaimer This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel! Subscribe hapa : https://www.youtube.com/@Bhailamkhan/ Subscribe to Comedy Plus: https://www.youtube.com/@ComedyPlustz/videos Like Ukurasa wetu wa Facebook :https://www.facebook.com/Comedyplustz/
ADVERTISEMENT
Tulio ungana na besti yake kibena kumlilia kibena tujuane kwa emoji😢😢
Wanaosema bailam ni noma like apa
Daaah😢😢 Kuna Muda Unasahau Kama Hii Ni Movie Unajikuta Unalia Tu Daah😢😢😢
Dah tuliohuzunishwa na kitendo Cha kudhulumiwa kampun boss😢😢😢 tujuane apo kwa like
Bhaila bonge la muigizaji wanaomkubali nasri na dadaake kibena gonga like
ila kuigiza yaani mpaka machozi yananimwagika daaa!!!😅😅😅
Mungu abaliliki mtu yeyote amewai kama Mimi Leo, 1min number one from Kenya nipee like
Kibena alizidi utukutu. Asiye fuzwa na wazazi ..faida yk ndo hiyo. Kibena❤
Huyu kapoteza kampuni , na huyu kapoteza mdogo Wake , poleni sana
Hila Naomi we mtu na nusu unayaweza 🙌🙌🔥
R.I.P kibena tulikupenda lakini mungu amekupenda zaidi
Kuna siku mtu alicomment akasema hii Idea Bhailam kaiga kwa pasar hiloooo umeumbuka bhailam ni genius 💪👊🔥🔥🔥🔥
Nimewahi mapema leo from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Watu mko fasta
Pole mwaya huyoo ndonibs 😢😢😢😢waja watafurahia ondoko la kibena mana walikua wakimsema sana sasa rohoo xenuu kwatuu
Duuuh kibena anaye umia kufa kwa kibena like yake ya kumuomboleza😭
Team BHAILAM from YOMBO VITUKA LUMO
BHAILAM anajua sana kuigiza aisee maneno yake ni mafupi mafupi utadhani zile script za Kanumba 💥💥💥💥
Kutoka kenya 🇰🇪 Leo naomba likes ata mbili tu kwa sababu nmewahi sana..kazi nzuri Boss Bhailam na timu yako 🎉🎉🎉
😢hii mvi ukwer ina lizisha imeturia naipenda sana