umetuerewesha vizuri sana tuwe wavumilivu wachezaji nao ni binadamu wanakosea
S
silvia_garcía3 months ago
UNENYA UALE
R
rebecca.jordan3 months ago
mbona interview ilikuwa nzuri tu haikuwa na haj ya kumueka fei kwenye tittle
S
shawn.henderson3 months ago
Kwenye ishu za habari za michezo uhakika zaid kwakweli niwe mkweli na muwazi #Salehejembe ni mtu mkweli kabisa wara HANAGA konakona huyu
hannahrichardson8563 months ago
Asante sana Salehe Jembe
S
suzannelloyd4763 months ago
Moja kati ya hazina tuliyo nayo tz ni pamoja na huyu bwn mm ni mmoja kati watu wanaomwelewa sana huyu salehe jembe na sjui nikabila gani maana kanyooka sana Mungu amlinde sana
Sasa hapo mbona hajaongelea hiyo mliyoandika kuhusu fei toto,mnajiharibia kichwa cha habari hakiendani na story,matako yenu
J
jilllewis3303 months ago
Kwan ujibiwe ww nan shoga tu
L
lilia_medrano3 months ago
GSM 50 na GSM 50
J
juliapope5953 months ago
Mali za Yanga Zina simamiwa na board ya Yanga na wajumbe wake wanafahamika. Huyu Salehe mbona hasemi hao wajumbe ni wafanyakazi wa GSM? Salehe bado huja jipanga hoja yako haina mashiko ni hoja mfu.
angela.patterson3 months ago
KIBARAKA WA MIKIA FC KTK KIWANGO CHAKE??
B
beth_burton3 months ago
Acha kupotosha watu wewe kwa kusema eti GSM na GSM !!!!!!!! Raisi wa yanga kisheria yupo yanga kama ana mambo ya ndani ni ya kwake sisi tunaendesha mambo kisheria Mzee cyo kifikra kama unavyofikiri na kuunda hoja Yako hiyo. Kwa hoja ya umiliki wa 50 kwa 50 ? Ni sawa kuifafanua ili kujua umiliku huo ni WA Nini na Nini ?????!
C
crystal_ramirez3 months ago
Yanga Wana vichwa vya mwenda wazim nigum kukuelewa ila ww umewaelewesha vyakutosha
daah aise kaka salehe umetoa somo kubwa sana..mwenye kuelewa ataelewa broo
Jembeeee
YESU NI MUNGU
waandishi mjikusanye mkasome Kwa salehe jembe 😂😂😂
umetuerewesha vizuri sana tuwe wavumilivu wachezaji nao ni binadamu wanakosea
UNENYA UALE
mbona interview ilikuwa nzuri tu haikuwa na haj ya kumueka fei kwenye tittle
Kwenye ishu za habari za michezo uhakika zaid kwakweli niwe mkweli na muwazi #Salehejembe ni mtu mkweli kabisa wara HANAGA konakona huyu
Asante sana Salehe Jembe
Moja kati ya hazina tuliyo nayo tz ni pamoja na huyu bwn mm ni mmoja kati watu wanaomwelewa sana huyu salehe jembe na sjui nikabila gani maana kanyooka sana Mungu amlinde sana
Kak Salehe wenyewe Utopolo hawataki uwatetee 😂 daah,,wanapenda Siasa hivyohivyo
Sasa hapo mbona hajaongelea hiyo mliyoandika kuhusu fei toto,mnajiharibia kichwa cha habari hakiendani na story,matako yenu
Kwan ujibiwe ww nan shoga tu
GSM 50 na GSM 50
Mali za Yanga Zina simamiwa na board ya Yanga na wajumbe wake wanafahamika. Huyu Salehe mbona hasemi hao wajumbe ni wafanyakazi wa GSM? Salehe bado huja jipanga hoja yako haina mashiko ni hoja mfu.
KIBARAKA WA MIKIA FC KTK KIWANGO CHAKE??
Acha kupotosha watu wewe kwa kusema eti GSM na GSM !!!!!!!! Raisi wa yanga kisheria yupo yanga kama ana mambo ya ndani ni ya kwake sisi tunaendesha mambo kisheria Mzee cyo kifikra kama unavyofikiri na kuunda hoja Yako hiyo. Kwa hoja ya umiliki wa 50 kwa 50 ? Ni sawa kuifafanua ili kujua umiliku huo ni WA Nini na Nini ?????!
Yanga Wana vichwa vya mwenda wazim nigum kukuelewa ila ww umewaelewesha vyakutosha
Salehe Jembe Ni Jembe
Hajielewi huyu.