#CRDBBankFederationCup: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo kati ya Simba dhidi ya TRA United kwenye mchezo wa robo fainali ya CRDB Bank Federation Cup. Magoli ya Simba yamefungwa na Clatous Chama, Anicet Oura, Selemani Mwalimu na Bashiri Kibaila. Mchezo wa nusu fainali ni Coastal Union dhidi ya Simba SC. FT: Simba SC 4-0 TRA United #KombeLaShirikishoLaCRDBBank #CRDBCup #FACup #SimbaSCVsTRAUnited #SimbaSC #TRAUnited #SimbaTRAUnited
ADVERTISEMENT
Simba tumejipata
Fans Simba SC Rwanda 🇷🇼 like here🤍❤️
Kwanini Azam highlight za Simba munatia dakika chache Alafu Yanga munaweka nyingi
kila mchezaji wa simba atafunga ikiwezekana mpaka mashabiki😂😂😂
Safi sana
Simba tumejipa Simba wanapenda kujiamuliq mambo
Simba wameamua
Kijana mdogo 🔥🔥🔥 Loemba uyu jamaa ni 🔥🔥🔥 Asanteni Sana Makamanda wetu tunalitaka 🏆🤲🏽🤲🏽🙏🏽 🤲🏽🙏🏽♥️♥️♥️🦁💪🏽🔥🔥
Congratulations Simba kwa ushindi hii leo 🦁💪🎉
Azam naomba mtuongezee hizi dakika, you're always the best 👌
Tunafurai to ❤❤❤❤ asante san wachenzaji wangu
Ila kipa wetu pia yupo vzr 🎉🎉🎉❤❤❤❤
Simba.ya uchebe inaludi jamani ❤
Wooh mha saiv wa moto
Hi ndo Simba yangu nnayoifahamu
Sawaaaaaa
Mtangazaji kwann unyamaze kwenye goli la chama
Ila chama waonee huruma
Mbona Sizioni coment za Kumtukana Duchu Tena kuna manasimba huwa ya hovyooo sana oooh Duchu hafai hafai tupige chini mnaakili kweli ninyi Beki yupi atakupa Double Assist kama David Kameta Ni suala la muda tu msiwe kama sisi Yanga Kosa Moja mchezaji akifanya anapigwa Bench Mkimuacha mchezaji yoyote Sasa atakuja Jangwani Mimi napenda Mchezo Mzurii wa haki Sipendi mchezaji kuwa juu ya Team acheni kukalili wachezaji
Ila sina inanipa rahaa kuliko mpenz wangu