Nuru ni drama ya Kiswahili inayosimulia maisha,usaliti,mapenzi na changamoto za kila siku.Ni tamthilia ya East Africa inayoangaliwa na watazamaji wengi wa Africa na Diaspora wanaoishi USA,Canada na Ulaya. 🔥Tazama Episode 88 ya NURU hapa - sehemu muhimu za maisha,mapenzi na siri zinazofichuka. 🔔SUBSCRIBE for more episodes of NURU every week! 💬Acha comment yako-unampenda zaidi nani kwenye tamthilia hii? Hashtags: #Nuru #swahilidrama #EastAfricanSeries #bongomovies #swahiliseries
ADVERTISEMENT
🔔TUNAOMBA USISAHAU KUSUBSCRIBE UNAPOTAZAMA TAMTHILIA HII.
Nimekua wa kwanza jamani naombeni like hata kumi tu maana nawapenda mno 🎉🎉
Nimekuwa wapili jaman like kidogo jomonii❤❤
Da! Kumbe John kaanzia cuoni kula watoto😂? Huu niwakati wakutubu John ungemsikiliza ndugu Yako maana malipo ni hapa hapa duniani. Harafu Mzee Andrew mumemficha sana nimenisi vituko vyake
Léo ni wai kufika. Naombeni like
John Muoe tu mangaka😂😂😂
Hahaha wa pili Naomba like
duh Michael 😂😂😂anakula tu mihela
Miye wa kwanza kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ijayo Kuna mtu atafumaniwa 😂😂😂 dawa ya mkojozo 😂😂😂
Huyu rafiki yake Sikudhani naombeni namba zake jamani huyu dada ni mzur ❤❤
tabia ya John ni kuwa, { ukipenda penda,waja penda ukakosa kupendwa 😂😂😂}
Nawapenda sana mungu awatangulie 🙏🙏
We siunanizaa kabisa 😅😅 unapendana na nani ww😢😢😂😂😂😂 ila John 🎉🎉🎉
Kumbe jon kwa magang’a ulijimaliza eeeh mwenetu ni ngumu sana kukutetea😂😂
NURU yangu mimi❤❤❤❤❤
❤nuru
Duh! Dawa yamukojozo😂😂
Jamn nimekuwa watatu Leo nipen like zangu
Jaman nimekua wa 3 naomben likes Zenu nipo Zanzibar