Yesu ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI (Yohana14:6, Warumi10:9-10).
A
adán.cuellar3 months, 1 week ago
Yanga bingwa
R
rael.novaes3 months ago
Nje ya uwanja kumewekwa mechi za kumkanda mtani pasina huruma🎉🎉🎉💚💛💪🔰
M
maríacristina_deanda3 months, 1 week ago
Lazima waige😅😅😅😅😅
M
meghana_bobal3 months, 1 week ago
Shida ya vilabu vyetu vina maneno matamu sana ila matendo hamna kabisa, binafsi siamini katika maneno bali vitendo zaidi, GSM na viongozi wa Yanga wajaliwe uwezo wa kusema na kutenda kwa wakati.
S
sherrybaker7923 months ago
🔥🔥🔥🔥
emmanuelle_maillot3 months, 1 week ago
🎉
A
amanda.matthews3 months ago
Insh allah TUTAJENGA UWANJA TUWAZIBE MIDOMO MAKOLO
N
nicholas_smith3 months ago
Mambo yamekukubali jombaa shavu dodo🎉🎉🎉
M
matthewpalmer7203 months, 1 week ago
😂🎉😂🎉🎉
K
karen_larson3 months, 1 week ago
Tusubiri tuone,wabongo maneno yamezidi😂
K
kristin.ford3 months ago
Oya me nilikua nauliza kua mbn tumefungiwa kusajili inakuwaje sasa kuhusu usajili wa mwaka huu
V
vanessa_carlson3 months ago
Kaka akuna changamoto apo kutaundwa kampuni ya pande zote 2 kuuendesha uo uwanja
D
dimitrios_bonbach3 months ago
Tatizo uwanja uko ahera
J
josué_costela3 months ago
Xx 2nachotaka ukamilike huo mladi siyo tetesi kam ximb miaka iliyopita
A
alix_legendre3 months ago
Swala la uwanja, yanga imepigwa kwenye mkataba! Eng. Hersi ajitathmini kuhusu hili, litamgharimu sana! Tasinia ya mpira Tanzani (TFF), Africa (CAF) na duniani (FIFA) itamtenga kwa kukosa uaminifu maana yake ni mbonafsi. Mbwaduke we mchambuzi mzuri, kwa hili una bahasha mkononi!
Yesu ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI (Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Yanga bingwa
Nje ya uwanja kumewekwa mechi za kumkanda mtani pasina huruma🎉🎉🎉💚💛💪🔰
Lazima waige😅😅😅😅😅
Shida ya vilabu vyetu vina maneno matamu sana ila matendo hamna kabisa, binafsi siamini katika maneno bali vitendo zaidi, GSM na viongozi wa Yanga wajaliwe uwezo wa kusema na kutenda kwa wakati.
🔥🔥🔥🔥
🎉
Insh allah TUTAJENGA UWANJA TUWAZIBE MIDOMO MAKOLO
Mambo yamekukubali jombaa shavu dodo🎉🎉🎉
😂🎉😂🎉🎉
Tusubiri tuone,wabongo maneno yamezidi😂
Oya me nilikua nauliza kua mbn tumefungiwa kusajili inakuwaje sasa kuhusu usajili wa mwaka huu
Kaka akuna changamoto apo kutaundwa kampuni ya pande zote 2 kuuendesha uo uwanja
Tatizo uwanja uko ahera
Xx 2nachotaka ukamilike huo mladi siyo tetesi kam ximb miaka iliyopita
Swala la uwanja, yanga imepigwa kwenye mkataba! Eng. Hersi ajitathmini kuhusu hili, litamgharimu sana! Tasinia ya mpira Tanzani (TFF), Africa (CAF) na duniani (FIFA) itamtenga kwa kukosa uaminifu maana yake ni mbonafsi. Mbwaduke we mchambuzi mzuri, kwa hili una bahasha mkononi!