LIVE CROWN SPORTS
LIVE CROWN SPORTS
ADVERTISEMENT
Comments 18
gabrieltempest28:
Ivi mnavyo sema kuwa yanga wamepata dili kubwa kwa Bro 50% …
More Like This
6:40
MABASI SIMBA NA SINGIDA YAGOMBANIA Kuingia Uwanjani Irizar Yasimama
Sports
79
4
23:17
KABWE AIBUKIA KADI NYEKUNDU YA ANTONY MLIGO, PENATI YA SIMBA
Sports
109
0
12:09
SEMAJI AHMED ALLY AKIZUNGUMZA BAADA YA KUIBUKA NA USHINDI DHIDI YA SINGIDA BS
Sports
403
51
0:34
Is Haaland Really Wearing Wig? 🤔 #football #soccer #sports #creators #shorts
Sports
20.0k
100
0:36
TZOLIS Made His Premier League Debut Look Terrifying #arsenal
Sports
2.0k
12
9:19
LONDON DERBY! | West Ham United v Charlton Athletic extended highlights
Sports
930
66
6:28:50
Saratoga Live - Saturday August 22, 2026
Sports
1.4k
0
2:01
Codie Taylor leads the All Blacks for the Haka
Sports
461
50
You've reached the end
Ivi mnavyo sema kuwa yanga wamepata dili kubwa kwa Bro 50% na mkataba wa milele vip kama betway tangazo pale kwa jezi ya simba wanatoa zaidi ya b25 vip Hao ukiwapa uwanja uwe na jina Lao ndani ya miaka kumi na asilimia Mia uwe wa kirabu
CRESCENT ELECTRICAL
Am not an Arsenal fan but for me David Raya is the best player in this campaign of 2025 - 2026 in EPL.
❤
Mbona nikiitafuta online radio yenu siipati
❤❤
Mbana pua
Kipindi Bora Cha michezo Tanzania kwa sasa keep it up crown 👑
Magunga unachambua kisomi na fact ila uyo jamaa mapenzi na yanga yanamwaribu, asubiri achambue mpira siyo business's plan
HI RADIO 📻 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Simbaa nomaaa
Kuhusu swala la umiliki wa uwanja kweli hans hakujua nn anaongea magunga umejua kuongea
Kweli nimeona ndani studio kuna wengi taa nyekundu inawaka 😂😂😂😂😂😂😂😂kwa yanga kujenga uwanja 😂😂😂😂😂😂😂
Bilion 50 - 60! Kama mkataba wa jersey wa GSM kwa miaka 5 ilikua zaidi ya 33bil, huoni kama naming right ingaliweza kuleta income ya kulipa hiyo gharama ya kulipa hizo gharama za ujenzi? Suala la umilele sidhani kama ni sawa! Si kweli kwamba kwa kumpa GSM 50 unampa haki ya naming right ya milele ambay ni marketing asset ambayo ingaliweza kutengeneza fedha nyingi kuliko thamani hiyo ya ujenzi kwa vizazi vyote!? Period,,,!
Ansi uko vizuri yanga siku zote wanatangaza swala la isa nyi mko wapi
MAGUNGA WELL SAID BROTHER, HANS UWEZO MDOGO😂😂
Wachezaji tunashindwa kulipa mshala kweli uwanja tutaweza
Wachambuzi wa zuri