Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 16 - NEXT LEVEL REVOLUTION, BEYOND BORDERS kwa wakati kwenye Channel ya SINEMA ZETU. Kila JUMAPILI kuanzia Saa 2:00-3:00 Usiku, kupitia Kisimbuzi cha AZAM TV au App ya AZAM MAX. :Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila IJUMAA na JUMAMOSI kuanzia Saa 2:00-2:30 Usiku ndani ya Channel ya SINEMA ZETU. RATIBA YA VIPINDI VYA BSS SE16 NEXT LEVEL SHOW (Main Show Sunday) Kuruka: Jumapili Saa 2:00-3:00 Usiku Marudio: Jumatatu na Jumanne Saa 11:00 Jioni EXTRA SHOW (Daily Show Friday) Kuruka: Ijumaa Saa 2:00-2:30 Usiku Marudio: Jumamosi na Jumatano Saa 11:00 Jioni EXTREME SHOW (Daily Show Saturday) Kuruka: Jumamosi Saa 2:00-2:30 Usiku Marudio: Jumapili na Alhamisi Saa 11:00 Jioni AZAM TV - SINEMA ZETU CH.160 Bongo Star Search Follow Our Pages Facebook: http://facebook.com/BongoStarSearch Twitter: http://twitter.com/BongoStarSearch Instagram: http://instagram.com/BongoStarSearch SnapChat: BongoStarSearch TikTok: bongostarsearch Channel Administered by Bongo Star Search Instagram: https://instagram.com/BongoStarSearch Bongo Star Search Follow Our Pages Facebook: http://facebook.com/BongoStarSearch Twitter: http://twitter.com/BongoStarSearch Instagram: http://instagram.com/BongoStarSearch SnapChat: BongoStarSearch TikTok: bongostarsearch Channel Administered by Bongo Star Search Instagram: https://instagram.com/BongoStarSearch
ADVERTISEMENT
Kwa ufupi BSS ya mwaka huu ni mbaya sana kuliko zote. Hatuoni ile ladha ya musics bcoz wanaperform kwa seconds tu na interviews ni nyingi kitu ambacho kina kera. Mmepata wasanii wenye vipaji lakini hamuwatumii ipasavyo. Nyie ni hovyo kabisa.
Duuh tangu nakuwa had nafkia hapa sikuwahi jua kma BSS itawah kuharbika namna hii, Tangu ije Azam kuanzia uyo mtangazaj n kma anatumbuiza kwenye mazishi, camera mbovu, kipind sio cha kuperform tena n interview kma kipind cha dadaz kwa ufup hakuna kitu tena apaa
Kwani hii nia mwaka gani mbona kama ya 2000😂😂😂
Quality mbovu sana
Wakenya manaona vile sisi ni wa kind na bdo TU hua mnatutusi na vile tunawa treat vizur mkija tz
bss ya hu mwaka yauwongooo sana Haina ladha
Hivi hii luga yetu Kuna watu wanajifunza
Mupango wa bss nawaka Huu ni mbaya sana
😂😂😂kwa watangazaji round hii mumeniangusha vibaya. Wapi Idris na Meena jamani
Uyu dada yngu wa mawe na panga yupo vzr sana
Brooooooooh nakufwata kutoka Congo goma siyo bongo stars church
Kwa mtazamo wangu mim ni kuwa wenye walitolewa walikuwa very talented sanaaa kuliko hawa
Bongo star church 😂😂😂😂
Quality mbaya jaman kah utafikiri ya mwaka 90
Hivi huyu alishuhudia bongo stars such ya 2015 kweli au anaongea tuu kama kalewa
hv ni live saizi au
Wakizubaa kidogo tu sophaya abeba m50 cz kachangamka sn
AM HERE BECAUSE OF PRAISE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mbaya sana
Leo mmenifurahishaa 😊😊mmeleta full mlete ivyo Kila time