#Bhailam ⭐ Disclaimer This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel! Subscribe hapa : https://www.youtube.com/@Bhailamkhan/ Subscribe to Comedy Plus: https://www.youtube.com/@ComedyPlustz/videos Like Ukurasa wetu wa Facebook :https://www.facebook.com/Comedyplustz/
ADVERTISEMENT
Tunaoamini bhailam Bado ni boss tulike hapa
Woyooooo kumeanza kuchangamka uku , wanaoamini kama ipo siku mali zote zitarudi kwa Bhailam tugonge like 👍 tukiendazetu mbele ,! Pole Mr Bhailam
wanangu wa love me boss dondosha kopa kwa bhailam
Hii haiishi mpaka iishe twende nayo movie yetu tupate la kujifunza
nimejisikia vibaya ila maskini bhailam 😭😭😭😭😭😭😭 wangap mnaumia kwaajili ya Mr Bhailam😭
Toka nianze tizama iyi movie sijawai ata kupata commenty ata moja munioneye huruma basi n'a Mimi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🎉
Bhailamu genius anajua cheza ualisia kiukweli
Bonge la mzigo🎉🎉
Kalibu Tena love me boss tulio subilia mwenderezo huu chapa ✅✅❤️❤️
Wakwanza from znzibar
Hii movie imenifundisha mambo mengi sana kwenye haya maisha big up sana bro
Kweli kikulacho ki nguoni mwako ...pole sana boss Bhailam😢😢😢
Dunia hadaa Walimwengu si watu wazuri Nimeumia sana
Hili nalo ni pigo bhailam pole 😢😢🎉🎉🎉❤❤❤❤
Hapa saaa muvi ndo imeanza🎉🎉🎉🎉🎉
Nimeanza kuelewa maana ya hii nyimbo😢 ya background
Bhailam kazi nzuri sana 👊👊👊
Bhailam pls usinilize rudisha company halaka maana sitaki kuona naomi akilia tena plz 🙏 😢
From Burundi Bujumbura tujawane apa kupitiya like zenu yamani tuko wangapi kutokeya Burundi❤
😢😢😢😢jameeni maskini mr bhailam fanya kila njia urudishe mali zako