Hii game galiatano uliicheza kama kawaida Yako brain and confidence,safi sana japo ungemkazia hata ko ungepata anyway kukuangalia TU ni burudani tosha wewe unaweza.
tracey_ramos3 months ago
Leo nimegundua tz tuna mabondia wazuri aseeeeh solder umetisha
V
vanessa_carlson3 months, 1 week ago
Jamaa pro kweli , Yuko vizuri,
olivierdrift983 months, 1 week ago
Jamaa alikuwa na uwezo wa kushinda ila hakuwa aggressive vya kutosha,,ukiwa mstaarabu ugenini unatoka kapa..kumbuka mwenzio anabebwa Yuko kwao kwahio bila kumtwanga kwelikweli hupati ushindi😢
J
jamesrune243 months, 1 week ago
Hongera sana brother Ismail umecheza vizuri sana sema majaji hawapo fair
C
cheyenne_brown3 months ago
Galiatano bonge la bondia hongera sana umecheza vizuri sana kaka
emmanuelle_maillot3 months ago
Mcheza kwao hutuzwa Ila gariyatano alistail ushind
T
tony_johnson3 months, 1 week ago
Galiatano ni noma!
J
jeremy.mcintyre3 months, 1 week ago
Huyu mzungu kapigwa sana wamemuonea tu ndugu yetu jamaa ni Boxer mzuri sana nimemkubali sana
A
adán.cuellar3 months, 1 week ago
That was a broad daylight robbery !!! 😂
C
christopher_thompson3 months, 1 week ago
Hawa wasenge mpaka uwadondoshe sana Ndio wakupe ushindi
R
rodrigo.mendes3 months, 1 week ago
GALIATANO IS WEENIES, ❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
L
lilia_medrano3 months, 1 week ago
Bonge la fight Mwakinyo ajae huyuu
R
rosaaltamirano4673 months ago
🇹🇿👍
kerry_nicholson3 months, 1 week ago
The way he lets his hands goes is crayz.
taylorsmith9243 months, 1 week ago
Good job...!! Kimcng boxing TZ Imekua san.mabndia weng wanafany vzur sn kimataifa ukiachlia mbali janj jnj za wazngu za hap na pale🥊
S
sabrina_king3 months ago
Usipende kukaa kwenye corner unampa nafasi adui kukushambulia ila umecheza vizuri hongera sana kamanda❤
Hii game galiatano uliicheza kama kawaida Yako brain and confidence,safi sana japo ungemkazia hata ko ungepata anyway kukuangalia TU ni burudani tosha wewe unaweza.
Leo nimegundua tz tuna mabondia wazuri aseeeeh solder umetisha
Jamaa pro kweli , Yuko vizuri,
Jamaa alikuwa na uwezo wa kushinda ila hakuwa aggressive vya kutosha,,ukiwa mstaarabu ugenini unatoka kapa..kumbuka mwenzio anabebwa Yuko kwao kwahio bila kumtwanga kwelikweli hupati ushindi😢
Hongera sana brother Ismail umecheza vizuri sana sema majaji hawapo fair
Galiatano bonge la bondia hongera sana umecheza vizuri sana kaka
Mcheza kwao hutuzwa Ila gariyatano alistail ushind
Galiatano ni noma!
Huyu mzungu kapigwa sana wamemuonea tu ndugu yetu jamaa ni Boxer mzuri sana nimemkubali sana
That was a broad daylight robbery !!! 😂
Hawa wasenge mpaka uwadondoshe sana Ndio wakupe ushindi
GALIATANO IS WEENIES, ❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
Bonge la fight Mwakinyo ajae huyuu
🇹🇿👍
The way he lets his hands goes is crayz.
Good job...!! Kimcng boxing TZ Imekua san.mabndia weng wanafany vzur sn kimataifa ukiachlia mbali janj jnj za wazngu za hap na pale🥊
Usipende kukaa kwenye corner unampa nafasi adui kukushambulia ila umecheza vizuri hongera sana kamanda❤
Bonge la game ,soldier uko vizuri utafika mbali
Good luck 🤞
GALIATANO NOMA SANA ANAJUWA