0:00
6:58
6:58

ALLY KAMWE ASEMA MWAMNYETO KAKIMBIA KAMBINI | YANGA TUNATAKA UBINGWA

Sports
ADVERTISEMENT

Comments 12

Sign in to join the conversation

Sign in
J
john.jensen 3 weeks, 3 days ago

Hao mikia wanataka kutugombanisha na wachezaji lengo lao ni kututoa ktk mstari ili tukukose ubingwa na hao wanasema atumtaki mwamnyeto ni mikia huyo ni mchezaji wetu aendi popote

L
liesalangern86 3 weeks, 4 days ago

Semaji nakuelewa sana wachezaji wetu tunawaamini sana nawanapambana sana tuwaombee wachezaji wetu

J
julianafliegner841 3 weeks, 4 days ago

Ukweli tuseme captain alikua mzembe match na d/j hivyo magoli yote 3 yeye ametufungisha

C
cynthia.costa 3 weeks, 5 days ago

Skidhinda ndiyo anatokea

S
sergioserna599 3 weeks, 5 days ago

Tupo pamoja

F
frédérique_weiss 3 weeks, 5 days ago

Asiludi kabisa hatumtaki wanayanga. Uyo mwamnyeto😊

eloah_damata
eloah_damata 3 weeks, 5 days ago

Alhambdulilah kwamafanikio tulio yapata nakuomba Allah tuzididhie mafanikio zaid Inshaallah

R
ross.woodward 3 weeks, 5 days ago

Nimitandao tuu maanatunaona tu kwenye mitandaoni kuwa shabalala anatakurudi simba

L
leon_williams 3 weeks, 5 days ago

Nashabalala vipi

H
hans-willi_kallert 3 weeks, 5 days ago

Kabisa Makosa n sehemu y mpira

C
charles_renard 3 weeks, 5 days ago

Nimekuelewa semaji hao mi eachezaji wetu na Yuko pamoja mpaka mwisho yaliyipita si twele daima Pele mpaka tichukue mataji yote

G
gabrieltempest28 3 weeks, 5 days ago

Eti kakimbia??mnajua maana ya kukimbia????