TOBAA!! Mange Kimambi Anika Siri ya Diamond Kurudi kwa Hamisa Mobetto! Zuchu Akwama Kwenye Hili..
ADVERTISEMENT
Comments 41
normamcconnell229:
Huyo Hamisa hajielewi angejielewa asingerudi kwa buyo malay…
More Like This
25:46
MTOTO WANGU 💞 PART 99 | WAKILI ACHAPWA FIMBO #love
Entertainment
2.7k
100
18:17
MSHKAJI WANGU | PART 34
Entertainment
3.1k
100
26:40
MLINZI Full Episode [ 40 ] #love
Entertainment
4.2k
100
10:43
ZINDUNA EP 24 || AFRICAN LOVE STORY | HADITHI YA KUVUTIA. #simulizimedia #simulizi #zinduna
Entertainment
3.9k
0
40:28
New Eritrean Series Movie 2026 Emnet 'ke part 31/ እምነት'ክ 31 ክፋል by Sidona Redei
Entertainment
3.7k
100
1:00
Normal skill VS king of Dream Reality 💀
Entertainment
0
0
47:46
SELMI HASAB S2 P144 BY HABTOM @HB
Entertainment
8.3k
100
23:12
silent tears episode 152
Entertainment
2.0k
100
You've reached the end
Huyo Hamisa hajielewi angejielewa asingerudi kwa buyo malaya lkn kwa kuwa hana akili arudi tu
Kale kashehe uchwala kaliosema kamesoma Dua mange hatopona ..kajitokeze sasa
Kama ni kweli bas HAMISA hajielewi.
Kibibi mange kinakaribia kufa😂😂
I know only Wema and Daimond is the best couple
Mmh kwakweli kama ni hivyo Hamisa ajirlewi kabisa
Aziz njoo uowe kenya Mombasa achana na kuoa malaya
Ndomana Madam Rita uwa anaita ni media uchwara sababu mmekua mnatoa sana habar za uongo mfano ile ya Jux na Vanessa mliongea weeh kumbe uongo saiz tena kwa hamisa punguzeni uongo ndomana media tunayoiamin niya milad ayo peke ake
Nyota.gani.mbona.mnaumbeya
Yamekua hayo....Azizi Rudi kwenu Seiraleon..ukaoe..😂😂😂
Mnatuchanganya jmn bora msiwe mnapost mambo yenu
Ila wabongo mnachoweza n umbea tu kuongea y watu😏😏😏😏
Azizi kii njoo unioe mimi
Wamerudiana wazazi awachani bwana kinganga siyo mke wa mond alijipeleka mwenyewe kwa da mond
Weee diamond nyota yake inang'ara akiwa na wema sepetu. Hao wote anajisumbua nchi inajua diamond na wema sepetu ndio nyota zao zinaendana hakuna mwingine atazunguuka weee lakini kwa wema sepetu tena walichanjiana damu hilo ni agano kubwa sana kwa Mungu maana walilishana damu hakuna wakupindua. Shauri yake diamond maana alikula kiapo ambacho yeye mwenyewe hakujua.
maajabu ya musa
Hayo ni makubwa 😅
kwel ndy
Ha ha haaa ! Wanaume dah ? Tunakimbia huku Mara kuleee Afu unarudi pale paleee ! 😂
Waongo