0:00
24:43
24:43

UCHAMBUZI MKALABOKO | UWANJA WA YANGA KWA SIMBA KOTI LA SUTI HALICHOMEKEWI

Sports
ADVERTISEMENT

Comments 33

Sign in to join the conversation

Sign in
jessedavenport853
jessedavenport853 1 month ago

Wape elimu wajinga hao sisi tunaanza wao watafata wivu tu upo juu kaka yanga wapo wazi tunaukubari uongozi wetu

A
alix_legendre 1 month ago

Baba upo vizuri watakuelewa kesho.Hersi jana,leo nakesho waache watoto wa MO na MANGUNGU wabweke milio yote

U
udarshsolara37 1 month ago

Nakukubali sn mwamba

A
adán.cuellar 1 month ago

Acha uchawa we mt mzema huo uwanja uko wapi bahasha za heris zanakufanya ubwabwaje ili usikose chejio simba imeingiaje hapo acha uchawa we mt mzima nilazima ucheke ili uongezewe chejio

B
brittany.gutierrez 1 month ago

Tulishawaambia hata YANGA ikipata 10% ni bora uwanja hauhamishiki utakuwa eneo la yanga tu! Hata GSM achukue 90% miaka 70 ila uwanja wa kwetu wanayanga❤❤❤❤❤

revadawn74
revadawn74 1 month ago

Mkoloboko! Waelimishe Watanzania. Wanachanganya mada sana. Wanaotumia translation wanapata shida kuelewa uchambuzi wa Watanzania. Lugha mbovu. Tafadhali elimisha watu hao. Niko Marekani, hawatuelewi.

anel.valdez
anel.valdez 1 month ago

Huyu mwamba anadarasa huru kujua kuelezea vizuri elimu ya darasani

H
hortensepoirier453 1 month ago

😂😂Nakubali sana 🎉

ashleyjames985
ashleyjames985 1 month ago

Ukolo tu wivu umewajaa

D
dalton_gentry 1 month ago

Ukosawa mkuu kikubwa nisubra

D
dalton_gentry 1 month ago

Huyu, Field M, Aingie kwenye Tuzo ya Nobel🎉🎉🎉🎉

C
courtneyatlas82 1 month ago

KWA MFANO UWANJA UNAJENGA BUNJU, SAWA NA MBWENI.

H
hans-willi_kallert 1 month ago

Mpaka Hers ajenge kwa kutaka kura kwani mara ya kwanza alipochaguliwa alitumia nn?

A
andrew_martin 1 month ago

Watu wajinga na wapo wachambuzi wajinga wanaodhani kwa kuwa na uwezo wa kutumia mic basi wanaakili sana. Yaani Yanga wote na kundi la GSM walioshiriki kuuandaa mkataba mbumbumbu, kweli? Wtz tupunguze uzezeta.

R
rafaél_gastélum 1 month ago

Kabisa, ....hata Klabu nyingi kubwa DUNIANI zinaita VIWANJA vyao majina ya makampuni yaliyowekeza sio dhambi na Bado VIWANJA ni vyao....na wanabadilika kadri na kadri....sisi uwanja utakua ni wetu na UWEKEZAJI wake hautagusa HAKI ya WANACHAMA kwenye Klabu Yao.....hivyo msiwasikilize MAPOYOYO

R
robertvaleon36 1 month ago

Kama vp nao si WAKAJENGE kwao BUNJU .....YANGA inakua na UWANJA kwenye CITY ...🤣🤣🤣🤣

C
cynthia.horn 1 month ago

Simba hawajakosea Wajenge Bunju ilikutanua kuachana na kubanana c. center Great Idear!!

J
jacquelinesanchez870 1 month ago

Watu wa TV 3 wanawivu na yanga. Wachambuzi wao wote madunduka

E
ethan.santos 1 month ago

Leo umeongea PRAGMATIC tupu kaka...big upo

H
harryjames211 1 month ago

Wape elimu madunduka watoke usingizini