UCHAMBUZI MKALABOKO | UWANJA WA YANGA KWA SIMBA KOTI LA SUTI HALICHOMEKEWI
ADVERTISEMENT
Comments 33
anel.valdez:
Shida yetu sisi unakuta mtu anajaju asilimia za mikataba wa…
More Like This
2:08
Cherries Denied Late Point at the Etihad | Man City 2-1 AFC Bournemouth
Sports
1.8k
0
0:30
Zlatan was right about Haaland's hair! 😭💀
Sports
15.1k
0
0:18
Madueke could be a problem this season… 👀 #football
Sports
919
0
0:10
When Your Frustration Backfires 😭 #football #viral #soccer #ardagüler #realmadrid #funny #memes
Sports
10.0k
0
0:33
Jermaine Jenas: “I Hated the Championship”
Sports
3.6k
0
0:35
Draymond Just DISRESPECTED the NFL 💀
Sports
12.8k
0
9:10
HEH!! SHABIKI KICHEFU CHEFU ACHAFUKWA!! SIMBA KADI NYEKUNDU TATU (3), HII SIO SAWA!! KUHARIBU LIGI
Sports
0
0
12:15
TOBAAH! MAGOLI AKUBALI USHINDI AIKATAA FVS KWEUPEE! TATIZO HILI! MBONA MAPEMA SANA, SIJUI ITAKUAJE?.
Sports
47
0
You've reached the end
Shida yetu sisi unakuta mtu anajaju asilimia za mikataba wakati hata ndoa yake inamshinda kusimamia yani haki yake aijui
Tunahitaji wachambuzi wenye akili na uwezo wa kufikiri kama Hawa inatia moyo sana 💪🔥
Fact tup nakubali
Mkalaboko una heshima yangu kuanzia leo
Watu wa kileo hata ukiwapa mwanga hawaamini wanaona utazimwa tena ZUBERII MKALABOKO wewe niwa kipekee😂😂
Big up brother 🎉🎉🎉 good analysis
fact brow tatizo watu wamepaniki hawaamini hiki kinachoendelea
sisi wabongo ni shida kwanza kila kitu tunajua nahii ndio shida
Leo umetoa elimu ya kutosha kabisa kwangu Niko darasani nakufatilia kwa umakina sana
Mkaraboko the big coch🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Umalaya tuu 😂😂
Broo we ni kichwa heshima kwako mkuu
Wape elimu madunduka watoke usingizini
Watu wa TV 3 wanawivu na yanga. Wachambuzi wao wote madunduka
Leo umeongea PRAGMATIC tupu kaka...big upo
Simba hawajakosea Wajenge Bunju ilikutanua kuachana na kubanana c. center Great Idear!!
Tulishawaambia hata YANGA ikipata 10% ni bora uwanja hauhamishiki utakuwa eneo la yanga tu! Hata GSM achukue 90% miaka 70 ila uwanja wa kwetu wanayanga❤❤❤❤❤
Uwanja wa yanga ni fitna kwa viongozi wa simba sc
Kabisa, ....hata Klabu nyingi kubwa DUNIANI zinaita VIWANJA vyao majina ya makampuni yaliyowekeza sio dhambi na Bado VIWANJA ni vyao....na wanabadilika kadri na kadri....sisi uwanja utakua ni wetu na UWEKEZAJI wake hautagusa HAKI ya WANACHAMA kwenye Klabu Yao.....hivyo msiwasikilize MAPOYOYO
Wape elimu wajinga hao sisi tunaanza wao watafata wivu tu upo juu kaka yanga wapo wazi tunaukubari uongozi wetu