Wape elimu wajinga hao sisi tunaanza wao watafata wivu tu upo juu kaka yanga wapo wazi tunaukubari uongozi wetu
A
alix_legendre1 month ago
Baba upo vizuri watakuelewa kesho.Hersi jana,leo nakesho waache watoto wa MO na MANGUNGU wabweke milio yote
U
udarshsolara371 month ago
Nakukubali sn mwamba
A
adán.cuellar1 month ago
Acha uchawa we mt mzema huo uwanja uko wapi bahasha za heris zanakufanya ubwabwaje ili usikose chejio simba imeingiaje hapo acha uchawa we mt mzima nilazima ucheke ili uongezewe chejio
B
brittany.gutierrez1 month ago
Tulishawaambia hata YANGA ikipata 10% ni bora uwanja hauhamishiki utakuwa eneo la yanga tu! Hata GSM achukue 90% miaka 70 ila uwanja wa kwetu wanayanga❤❤❤❤❤
revadawn741 month ago
Mkoloboko! Waelimishe Watanzania. Wanachanganya mada sana. Wanaotumia translation wanapata shida kuelewa uchambuzi wa Watanzania. Lugha mbovu. Tafadhali elimisha watu hao. Niko Marekani, hawatuelewi.
anel.valdez1 month ago
Huyu mwamba anadarasa huru kujua kuelezea vizuri elimu ya darasani
H
hortensepoirier4531 month ago
😂😂Nakubali sana 🎉
ashleyjames9851 month ago
Ukolo tu wivu umewajaa
D
dalton_gentry1 month ago
Ukosawa mkuu kikubwa nisubra
D
dalton_gentry1 month ago
Huyu, Field M, Aingie kwenye Tuzo ya Nobel🎉🎉🎉🎉
C
courtneyatlas821 month ago
KWA MFANO UWANJA UNAJENGA BUNJU, SAWA NA MBWENI.
H
hans-willi_kallert1 month ago
Mpaka Hers ajenge kwa kutaka kura kwani mara ya kwanza alipochaguliwa alitumia nn?
A
andrew_martin1 month ago
Watu wajinga na wapo wachambuzi wajinga wanaodhani kwa kuwa na uwezo wa kutumia mic basi wanaakili sana. Yaani Yanga wote na kundi la GSM walioshiriki kuuandaa mkataba mbumbumbu, kweli? Wtz tupunguze uzezeta.
R
rafaél_gastélum1 month ago
Kabisa, ....hata Klabu nyingi kubwa DUNIANI zinaita VIWANJA vyao majina ya makampuni yaliyowekeza sio dhambi na Bado VIWANJA ni vyao....na wanabadilika kadri na kadri....sisi uwanja utakua ni wetu na UWEKEZAJI wake hautagusa HAKI ya WANACHAMA kwenye Klabu Yao.....hivyo msiwasikilize MAPOYOYO
R
robertvaleon361 month ago
Kama vp nao si WAKAJENGE kwao BUNJU .....YANGA inakua na UWANJA kwenye CITY ...🤣🤣🤣🤣
C
cynthia.horn1 month ago
Simba hawajakosea Wajenge Bunju ilikutanua kuachana na kubanana c. center Great Idear!!
J
jacquelinesanchez8701 month ago
Watu wa TV 3 wanawivu na yanga. Wachambuzi wao wote madunduka
Wape elimu wajinga hao sisi tunaanza wao watafata wivu tu upo juu kaka yanga wapo wazi tunaukubari uongozi wetu
Baba upo vizuri watakuelewa kesho.Hersi jana,leo nakesho waache watoto wa MO na MANGUNGU wabweke milio yote
Nakukubali sn mwamba
Acha uchawa we mt mzema huo uwanja uko wapi bahasha za heris zanakufanya ubwabwaje ili usikose chejio simba imeingiaje hapo acha uchawa we mt mzima nilazima ucheke ili uongezewe chejio
Tulishawaambia hata YANGA ikipata 10% ni bora uwanja hauhamishiki utakuwa eneo la yanga tu! Hata GSM achukue 90% miaka 70 ila uwanja wa kwetu wanayanga❤❤❤❤❤
Mkoloboko! Waelimishe Watanzania. Wanachanganya mada sana. Wanaotumia translation wanapata shida kuelewa uchambuzi wa Watanzania. Lugha mbovu. Tafadhali elimisha watu hao. Niko Marekani, hawatuelewi.
Huyu mwamba anadarasa huru kujua kuelezea vizuri elimu ya darasani
😂😂Nakubali sana 🎉
Ukolo tu wivu umewajaa
Ukosawa mkuu kikubwa nisubra
Huyu, Field M, Aingie kwenye Tuzo ya Nobel🎉🎉🎉🎉
KWA MFANO UWANJA UNAJENGA BUNJU, SAWA NA MBWENI.
Mpaka Hers ajenge kwa kutaka kura kwani mara ya kwanza alipochaguliwa alitumia nn?
Watu wajinga na wapo wachambuzi wajinga wanaodhani kwa kuwa na uwezo wa kutumia mic basi wanaakili sana. Yaani Yanga wote na kundi la GSM walioshiriki kuuandaa mkataba mbumbumbu, kweli? Wtz tupunguze uzezeta.
Kabisa, ....hata Klabu nyingi kubwa DUNIANI zinaita VIWANJA vyao majina ya makampuni yaliyowekeza sio dhambi na Bado VIWANJA ni vyao....na wanabadilika kadri na kadri....sisi uwanja utakua ni wetu na UWEKEZAJI wake hautagusa HAKI ya WANACHAMA kwenye Klabu Yao.....hivyo msiwasikilize MAPOYOYO
Kama vp nao si WAKAJENGE kwao BUNJU .....YANGA inakua na UWANJA kwenye CITY ...🤣🤣🤣🤣
Simba hawajakosea Wajenge Bunju ilikutanua kuachana na kubanana c. center Great Idear!!
Watu wa TV 3 wanawivu na yanga. Wachambuzi wao wote madunduka
Leo umeongea PRAGMATIC tupu kaka...big upo
Wape elimu madunduka watoke usingizini