JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: [email protected]
ADVERTISEMENT
Hongera mmalira upo vizuri kwauchambuzi
Great interview. Umejibu maswali vizuri. Umekuwa neutral, hukutaka kuharibu kwa Yanga wala Simba.
chama tanzania hakuna tunacho mdai c simba wala yanga kwaiyo mcmfananishe na mtu mwenye deni kubwa nchini na mpenja ukitaka uwe hodar kwenye filam maliza muvi ucikatishe kama difnition of love mpaka leo muendelezo ziro
Mpenda amejibu Kisomi ukweli umeshapatikana kuwa nani bora
Chama Ni Best score Cuf Champions League 2016...Kwaiyo usiweze Kumlinganisha Chama na Okelo
Mpenja akili nyingi Sana, congole 🫡🫡🫡
apo ni kumfananisha Messi Na Yamal
Mim kwamtazamo wang huy cham ameshafananishwa na watoto weng mar aziz k nibor kuliko cham oooh pacom nibor kuliko cham hayo yot wameyasahau sas wamekuj kwa okelo ety nibor kuliko cham why chama every day anytime yupo nidomon mwa wat nikumaanish huy jamaa nibor kulik yaan hakun kweny lig ya bong hap hajatokea m.badal wake hat libase anicet loemb mpaka mpanz wot hawa wangekua upand fulani pia wangefananishw na hik kiumb mim nisem tu niwapumbav wemekua hawajitambui na ningum kuwap wajinga elimu wakiwa namapenz ya vilab vyao broo barakh big up san
SHIDA MNAFANANISHA KWA KUTOELEWA MUDA,NA MECHI ALIZOCHEZA,KILA MTU NI BORA KTK NAFASI YAKE
Akili nyingi Sana wew brother hongera Sana 💪🤝👍🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Safi sana Kaka mboka
Wajina upo vizuri
Leo mbokq😅😅😅anatemaa yamoyoniii mwake na fact za maanaa😅😅😅😅
ngoja nikufollow una kitu
Wacha ligi iishe tuone nani atakuwa ametengeneza takwim nzuri ksti Yao
Kwasasa chama ni ze best kwa timu mbovu lakini kwa timu bora hapati hata namba kwenye first 11 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbokaaa nakubari sanaaa
Mpenja Go straight waambie watu ukweli wasio na Akili kwamba Chama is next Level is uncomperable prayer in NBC. Chama is Chuma than Okello😂