Wanaumme wanne waliopata mateso kwenye ndoa zao wanaanzisha umoja wao .Wanajiwekea sheria kutorudi tena kwenye ndoa,na badala yake kutumia muda wao uliobaki kwa kazi na kula raha.
Je watafanikiwa..SENIOR BACHELORS 10
ADVERTISEMENT
Comments 78ekani_goswami:
Mzee JB nakukumbusha tu, leo ndo ep 10 ulizosema. Nadhani u…
Mzee JB nakukumbusha tu, leo ndo ep 10 ulizosema. Nadhani ushajua namaanisha nini . Ngoja nienjoy sasa
Bonge la bwana usisahau ile ahadi leo hii ndo épisode ya 10 au sio Dady yakeee❤❤❤
Movie dakika chache Kuna haja Gani kupoteza muda wa mzee kufanya mazoezi. Kweli JB umetuchoka
Tusene Tu ukwwli hi tamthilia haielewki mpaka sasa JB jiongezee
Mzee mtama unapenda kujiamlia mambo 😂😂 mwili mwenyewe hauna unajitesa na mazoezi😂😂😂
😆😆😆 mazoezi
😂😂 Mzee mtama hamwagi jasho tu hadi damu anamwaga mana yupo kwnye mazoez mazito....
Oyooooo
Qualify ni balaa
Cjui ni bundles zangu namaliza maana hata sielewi kitu apa
Move zur ila mnachelesha sana na muda mchache sana
10 kama 10 ya Lionel Messi imetimia Mzee wangu 🚶🏾🚶🏾🚶🏾🚶🏾💥💥💥🙌🏾🙌🏾
Yani kwa mtazamo tu move ndo kwanza inaanza yani kitu kipo motoooo atar
bila kukosaaa
Nimewahi leo jaman
Jamn naomba like
Kazi zuri saaan 🎉🎉🎉tuko pamoj kila hatua
😂😂😂😂😂😂jb leo ndo mwisho wa vidakika vyako tutakumez ukiendelea😂😂😂
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
🎉🎉🎉