Nuru ni drama ya Kiswahili inayosimulia maisha,usaliti,mapenzi na changamoto za kila siku.Ni tamthilia ya East Africa inayoangaliwa na watazamaji wengi wa Africa na Diaspora wanaoishi USA,Canada na Ulaya. 🔥Tazama Episode 87 ya NURU hapa - sehemu muhimu za maisha,mapenzi na siri zinazofichuka. 🔔SUBSCRIBE for more episodes of NURU every week! 💬Acha comment yako-unampenda zaidi nani kwenye tamthilia hii? Hashtags: #Nuru #swahilidrama #EastAfricanSeries #bongomovies #swahiliseries
ADVERTISEMENT
Tunaosema Adrian hatofanikiwa tugonge like❤
Eee mungu hivyo vyungu vipasuke
Nimefurahi sana kuwaona ritha na reonald kuwa pamoja tena❤❤❤
Tunaoomba vifaa visipasuke gather here😂😂😂😂😂😂
John unajua..tena unajua tena, keep going
Team nuru hoyeee
Hii tamthilia tamu sana watu hawajui2 ila siku wakigundua watadata na uandishi wa Ephrahim Matowo 🎉🎉🎉🎉
Jamani kukaa kote online lakini sijabahatika kuwa wakwanza😭😭
Vyenye uyu mzee amekataa hela amejua Adrian ata kosea masharti
Duuh mbona mganga wa adrian n kama amejua kua adrian yuwaenda kuharibikiwa na ndo mana yuwamwambia maneno yakua washamalzana ata hela hatak kuna jambo sio bure
Nimekuwa wasita leo kutoka mtwara
Adriyan cungu yashetni haina mufuniko natumaini itapasuka tuu
Anaenda kuumbuka uyo hivyo vinavunjika
Naona mwisho wa Adrian ukifika mwisho hivyo vyungu soon vitapasuka na ubaya wako utakurudia, furaha yangu kuona litha na Ronald wakiungana ❤❤❤❤ nawapenda sana furaha yangu ni kuona Kila mtu akiishia kwa aman Asante ritha kwa kumshauri mumeo mmrudie MUNGU naamini kwa hapo Kila kitu mtashinda na mimba ya dorin ukweli utajulikana mwenye nayo Asante team Nuru nimejifunza mengi
❤❤❤kazi hizi ni nzuri kabisa ila sisi wengine tuna tamani kuitazama kila siku ❤❤❤❤lakini inachelewa kwa mda 😂😂😂
Nilivotoka kazin na speed ya kuangalia movie yangu
Kuhusu somo la chuki Mzee kaelezea vizuri sana jinsi shetani anavyofanya kazi kwenye ubaya
Hata kuniambiy kama imetokaaaaa mnaniazi mm ngoj niwasemee kwa baba anjela 😂😂
Mapenzi inatesa ady bikizee weee ,,.ni mbaya 😢😢😢😢
Vipasuke tu 😂😂