Walikuja kutafuta Location kwa ajili ya kufanya Movie yao ndani ya huo MSITU… lakini wakapatikana wao wenyewe. MSITU una masharti. Ukiyavunja, hauondoki kama ulivyoingia. MSITU 🌲 #MSITU #HorrorKiswahili #MovieYaKutisha #AfricanHorror #SwahiliHorror #ForestHorror #SeriesYaKutisha #Episode1 #Laana #BongoMovie #DarkFolklore #scarymovies #netflix #2026 #actionmovies #bongoseries
ADVERTISEMENT
Mwenyezimungu fungua Milango ya huyu anae soma comment hii🤲🤲🤲 lililo humu kwake likawe jepesi, Milango ya baraka na uchumi zikafunguke juu yake, kama ni mgonjwa umponye na kampe afya njema amiin.
Kama unaamini mungu ndo katoa kibali chaww kuangalia hii movie leo comments amen
Ndo sisi tunao ishi YouTube mkiposti2 tumefikaa😂😂😂😂😂
Huu ushauri ni waandaji wa movie hii ...... Najua mnataka kufikisha ujumbe wa faida za misitu....... Sasa hiki kitu kimezuia uwepo wa action katika hii movie sababu lazma misitu iibuke na ushindi tulitegemea Mwakatobe alivyoingia angalau action kidogo ziwepo ila haikuwa hvyo hii kitu itapunguza ushawishi kwa baadhi ya watu kuendelea kuifatilia sababu washajua kinachofuata ni kile kile tu ....... Watu kukimbia na kuteswa na msitu BASI!!!!!!
Tayari kutoka DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 les congolais j'attends vos likes🎉🎉🎉
Jamaa ni English yake pamoja na sheng ameisha kwa misitu
Yoo,,hii part ya nyoka si mnaitumia sana na inaogopesha😩😏😏 mpunguze nyoka jamani 😢 mlianza vizuri mnataka kumaliza vibaya bila ata views.So far movie inaboo.Kama mmechoka mpumzike😏😏
Ni mimi wa kwanza kufwata ku toka congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 naomba lik yenu dja mani
Am the first to comment, kenya hoyee😂
Jamani naombeni mrekebishe wasiwe wanakufa wote, Bali wawe wanakufa wale waliokosea masharti TU basi yaani afe muhusika
Alafu ulie vaa single iyo tattoo ya Allah apo ungeifuta began kwako
Hii move ilianza vizur ila mbele wanatuletea ujinga yan hadi wasiofany makosa msituni wanauwawa kam mmechoka tuambien tutafut move za kufatilia😡😡
Waooo Leo Nimekuwa wakwanza Tena kutoka Njombe naombeni Like hata moja❤
Shokali
Kazi po
Mpo vizur
Kazi nzur jmn❤❤
Mtu wakwanza zambia ❤❤❤
Very nice
Nan mwingine ameudhika n huyu kijana aliechoraa tatuu ya ALLAH jaman dunia tunapitaa nungu atusemehe jaman