0:00
2:17
2:17

MIMBA DADA WA KAZI#shortvideo #shorts #shortvideo #short #shortsfeed #shortsvideo #shortfeed #duet

Entertainment
ADVERTISEMENT

Comments 31

Sign in to join the conversation

Sign in
A
abeerbath407 1 month ago

Mlitaka point Gani

G
grégoire_louis 1 month ago

In short matatizo yako pambana nayo vile yanavyokuja yasikufanye uwe mnyonge cz kila mtu anamatatizo yake na yako ukaona si tatizo

steven.gonzalez
steven.gonzalez 1 month ago

Hii ni hadith ya Abraham na SARA kwenye biblia ,Abraham akamwacha kijakazi aondoke .Mke alifanya makosa kuuliza eti yey au msichana wa kazi na kama mwanmme anapata shida kuchagua nani basi amua mwenyewe cha kufanya na sio mume kukuamulia based na choice zake.

L
laurencebailly256 1 month ago

Yamekuwa hayo tena😂😂😂

michael.campbell
michael.campbell 1 month ago

Unaharibu vijana. Kuna nguvu na hekima ya kushinda uovu katika Kristo. Huu ushuda hausemi chochote kuhusu ushindi huo.

dagmarcascade31
dagmarcascade31 1 month ago

Hizo ni Lana. Halafu sikuizi maradhimaradhi, kumbe Lana zimezidi.

B
brianmartin440 1 month ago

Imagine watu wenye vipara wameanza kufundisha ujinga na tuliambiwa ndo watu wenye akili nyingi

I
irmela_bärer 1 month ago

Ubinafsi

E
eshana.modi 1 month ago

MIFANO YA OVYO SANA HIYO

M
marcelladörschner483 1 month ago

Na mkeo je angezaa na Baba yako ungeendelea kula bata

D
daniel_garcia 1 month ago

Noma sana

N
naksh_chaudhry 1 month ago

Nonsense

E
elaine_fry 1 month ago

Kwa akili ya kawaida hutoweza kumuelewa. Ila kama unaijua psycholojia vyema counselling and guidance utajua anamaanisha nini. Kwahyo usichukulie message tu km ilivyo kuna kitu kinamaanishwa.

L
laurencebailly256 1 month ago

Ss apo ndpo

M
maríadelcarmenuribe801 1 month ago

Kunamaisha baada ya kufa pia

abigailbrown482
abigailbrown482 1 month, 1 week ago

This one is not saved,,let him examine himself,,,If this is salvation then we need to reconsider

R
ross.woodward 1 month, 1 week ago

woow

L
liabeier261 1 month, 1 week ago

Unblemished unapotosha

G
graciela_morales 1 month, 1 week ago

Life has no proper road. No directions. No roadsigns but u gotta get where u want

natashabeasley890
natashabeasley890 1 month, 1 week ago

Kama ukimsikiluza kishabiki hutamwelewa.maana yake ni kwamba unapoona unatatizo kubwa na lina kusumbua ujue kuna watu wenye matatizo mazito kuliko wewe.na pia anafyndisha kuwa matatizo katika jamii yapo usiyape nafasi yakusumbue.maisha lazima yaendelee