Nyie wachambuzi wasenge sana. Waamuzi wanaharibu sana eti aombe radhi wakati timu zinaumia sana sana. Ahmed Ally yuko sahihi asilimia 💯.
D
davimiguel_silveira4 months ago
Ni kweli marefu wetu wanazingua
R
ray_lewis4 months ago
Tatizo ss Tz tunamdoma sana kila mtu ni refalii kila mtu ni kocha yaani acha kbs huko kwenye uchambuzi ndiyo Utumbo mtupu wakati mwingine unajiuliza hv hawa wachambuzi hata mpira wa makaratasi wamecheza kweli?
A
amanda.knight4 months ago
Sasa kwa nn stori ni kwenye dabi tu? Kama Tff wanajua hili tatizo kwa nn wasilete marefa wa nje kwenye mechi zote?
S
sallysimmons3453 months, 4 weeks ago
Marefa wetu wabovu kwani hatuna macho wabovu
utkarsh.kalita4 months ago
Kwan alisema uongo si nikweli
T
tony_johnson4 months ago
Marefa wetu wanazingua sana aragika ni chizi fresh
Nyie wachambuzi wasenge sana. Waamuzi wanaharibu sana eti aombe radhi wakati timu zinaumia sana sana. Ahmed Ally yuko sahihi asilimia 💯.
Ni kweli marefu wetu wanazingua
Tatizo ss Tz tunamdoma sana kila mtu ni refalii kila mtu ni kocha yaani acha kbs huko kwenye uchambuzi ndiyo Utumbo mtupu wakati mwingine unajiuliza hv hawa wachambuzi hata mpira wa makaratasi wamecheza kweli?
Sasa kwa nn stori ni kwenye dabi tu? Kama Tff wanajua hili tatizo kwa nn wasilete marefa wa nje kwenye mechi zote?
Marefa wetu wabovu kwani hatuna macho wabovu
Kwan alisema uongo si nikweli
Marefa wetu wanazingua sana aragika ni chizi fresh
Wewe huoni tofauti?
Hakun kwel kbc marefa wanazingua acha ushambaa wew
Ni kweli marefa miyeyusho
Mnachambua kishabiki sana na siyo uhalisia mechi nyingi Kuna madudu lkn hamyaongelei. Mnasubiri acheze Simba au Yanga.
Kajamaa hakajitambui yaani kana jizima data.hawa marefa sio wakuombwa msamaa wana takiwa wao ndio waombe msamaa.
Hakuna kuomba msamaa hapa malefa wetu wanazingua sana
Huyo jamaa anavinasa7 vya yanga 😊😊😂😂😂
Hakuna Cha samahani, wajirekebishe
Penalti Alotoa yule Refa Wa Kenya, na Dakika Zile Marefa Wa Bongo ( Arajiga, Kayoko ) wasingetoa. Kwanza Muda Wenyewe, Pili Penalti Apigiwe Yanga??
Kwahiyo maamuzi yao yanafurahisha?
Kwan kwan mtu asiongee ukweli?
Aombe msamaha kwa lipi waamuzi ndiyo waombe msamaha kwa zile Timu zinazo fanyiwa hujuma
Simba na Azam Arajiga Penalti 2 za Simba hakutoa. Benedict Mau Faulu 7 No red Card