#simba #youtubeshorts #mbwaduke #gsm #new #nbcsports #sportspesa #feitoto #wydad #afcon2025 #rajacasablanca #betway #mpanzu #ubuntu #mwananchi #alahlytv #pacome #timuyawananchi #offpitchtv #rajacasablanca #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #sports #mpenja #gsm #nbcsports #barbra #spotify #mangungu #ahmedially #kamwengestories #reels #soccer #podcast #ballislife #breakingnews #morroco #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #derby #cafoundationaccountsrevision
ADVERTISEMENT
Asante sana Kwanza wamechelewa sana kumtimua mtu wa namna huyo. Kabla yo yote ambayo ipo serious inatambua haraka sana viashiria vibaya na vilibora. He deserve
YANGA KUTOKA SARE NA TIMU MBOVU YA MIKIA SAWA NA KUJIDHARARISHAπ π π π π
pedro mumemuonea sana gamond na pedro nani alikuwa kocha mzur njibu ni ngamond, nje, huyo ngamonda timu aliifikisha wap zaid ya timu kupoteana
Wengi wenu mnaoikosoa yanga kisa kocha mlikuwa mkifurahia kuona anazidi kuendelea kubaki k7b mlishaona kua ni mzaifu skuzote adui yako mombee njaa
Katika jambo la kijinga na kipuuzi walilolifanya Yanga hili la kumfukuza huyu Kocha, tutaona muda mfupi ujao hapa, unam-judge kocha huyu kwa matokeo ya Yanga na Simba, Simba hii ya sasa iliyodhamiria kufanya lolote hata kuua mtu lkn ifute jinamizi lile la kifumgwa mara sita mfululizo, Simba mwaka huu ilidhiria kuhakikisha inaitia dosari Yanga kwa kufuta image ya unyonge, Simba hata isopochukua Ubimgwa lkn ni kudhamiria kuifunga Yanga tu basi, hata kwa kuua mtu. na bado Kocha pia alifanikiwa kuwatoa sare game zote mbili. tupo hapa hapa, ktk mechi ya CRDB Yanga atafungwa na Simba
Asante uongozi kwakusikia kilio cha mashabiki kumtimua kocha asanteni sana viongozi
Nakuelewa sana kaka
Uko sahihi kaka
Timu nzuri sana msimu huu kuliko misimu yote ila kocha alikuwa atoshi
Ramovic
Timu za maigizo yanga na simba
Tim yangu viongozi wanafiki Sana kocha Hana Kosar kabjsa Tim yenyewe ilikuwq namjelaha Sana kochi yup vizuti Sana macho katakana mtapata
Ni sahihi ili watafute kocha mkuu mapema kwa ajili ya klabu bingwa afrika, huyo kocha Hana mbinu mpya hasa mechi kubwa
huyo kocha mim sion sababu ya kumfukuza timu kutoa sale ni jambo la kawaida sana
sababu nn mpaka kocha afukuzwe
HUYO NABI HAMNA KILA KITU, KAMA ALIKUWA TIMU YENYE HELA KAIZER CHIEF,,AMESHINDWA MLETE UTOPOLO HAPO