HUYO KOCHA ALITAKIWA KUFUKUZWA MAPEMA TU,LKN VIONGOZI WALIJARIBU KUMPA MUDA LKN HAWAONI MABADILIKO
U
udarshsolara373 months, 3 weeks ago
Hans na mkai wap?
L
luz_mireles3 months, 3 weeks ago
Jeff na Jemedari wanayanga wala hatufati ushauri wenu tunawajua vizuri .tunaowafata hao wengine nyie tuna jua mnachuki na yanga na wala hamtusumbui
C
christine_ferrand3 months, 3 weeks ago
Job na jemedar mkawashauri simba jitahidini mjitenge na Habari za yanga haziwahusu
micheal_santiago3 months, 3 weeks ago
Juma juma juma ayo
H
hugo.ozuna3 months, 3 weeks ago
Juma utopolo
K
kamilly_sousa3 months, 3 weeks ago
Juma ayo ananifurahisha sana 😂😂
B
brenocosmos373 months, 3 weeks ago
Tumain uko sawa
R
reecehopkins4733 months, 3 weeks ago
Hiki kipindi tunakoendea kitakuwa genge la wahuni
kerry_nicholson3 months, 3 weeks ago
Nyie hamsemi ukweli kabisaa semeni tu raisi wa yanga tatizo na yeye
L
liabeier2613 months, 3 weeks ago
Usajili mwingi wamefanya makocha Folz na Pedro ....kama kuna kosa yanga tulilofanya ni kukosea kuwa na Makocha Folz na Pedro....
nicholas_marsh3 months, 3 weeks ago
YANGA hawajawahi kukosea. Wala hawafanyi maamuzi kupitia waandishi wa habari.
L
lisaswift3133 months, 3 weeks ago
Kwaio Jemedari Takataka Kama hii ilochezesha Yanga na Kmc ndo Marefa unaowatetea kwer?
B
brianmartin4403 months, 3 weeks ago
Juma, unapenda kuingilia maongezi bila kuwa na hoja ya msingi. Please try to intervene in the conversation with strong and meaningful points. Wakati mwingine unadisappoint wasikilizaji. Please, be a host kama host kama huna kitu cha kuraise, ni bora ukae kimya kuliko kuingilia , naona hapo mpaka JEMEDARI ANAKUAMBIA HESHIMU KAZ ZA WATU, JUMA BE SMART A BIT , SIJAWAH KUKOMENT ILA MARA NYING UNAKUWA MIAYAYUSHO , SORRY NI MTAZAMO TU
L
luce.antoine3 months, 3 weeks ago
Mm huwa napingana sana na Jemedali na Geoffrey lkn kwa leo tupo pamoja kabisa nmpaka nawaza au kuna upogaji kwenye kumfukuza kocha na kumsajili kocha mpya?? Mana ukirudi nyuma kwa gamondi mpaka leo kwa Pedro huoni shida kubwa sana kwa makocha. Sasa ww unaona kabisa wachezaji wanafuruliza mechi kibao ndani ya mwezi mmoja bado unataka matokeo yanayofanana?? Kweli!!!??hapana
P
pietrawhisper213 months, 3 weeks ago
Jemedari mkundu unamuwasha
R
rolando_zayas3 months, 3 weeks ago
Hawa wote hawawezi kuitakia YANGA mema. Wachambuzi wa Simba ..... Jeff Lea umbea imekujaa ndio maana una misimu mitano bila kombe lolote la lig
helena_novais3 months, 3 weeks ago
Ichi kipindi aki ingia jemedari ni mabishano tu na kutoleana hadisi za zamani usenge mtupu 🚮🚮🚮
HUYO KOCHA ALITAKIWA KUFUKUZWA MAPEMA TU,LKN VIONGOZI WALIJARIBU KUMPA MUDA LKN HAWAONI MABADILIKO
Hans na mkai wap?
Jeff na Jemedari wanayanga wala hatufati ushauri wenu tunawajua vizuri .tunaowafata hao wengine nyie tuna jua mnachuki na yanga na wala hamtusumbui
Job na jemedar mkawashauri simba jitahidini mjitenge na Habari za yanga haziwahusu
Juma juma juma ayo
Juma utopolo
Juma ayo ananifurahisha sana 😂😂
Tumain uko sawa
Hiki kipindi tunakoendea kitakuwa genge la wahuni
Nyie hamsemi ukweli kabisaa semeni tu raisi wa yanga tatizo na yeye
Usajili mwingi wamefanya makocha Folz na Pedro ....kama kuna kosa yanga tulilofanya ni kukosea kuwa na Makocha Folz na Pedro....
YANGA hawajawahi kukosea. Wala hawafanyi maamuzi kupitia waandishi wa habari.
Kwaio Jemedari Takataka Kama hii ilochezesha Yanga na Kmc ndo Marefa unaowatetea kwer?
Juma, unapenda kuingilia maongezi bila kuwa na hoja ya msingi. Please try to intervene in the conversation with strong and meaningful points. Wakati mwingine unadisappoint wasikilizaji. Please, be a host kama host kama huna kitu cha kuraise, ni bora ukae kimya kuliko kuingilia , naona hapo mpaka JEMEDARI ANAKUAMBIA HESHIMU KAZ ZA WATU, JUMA BE SMART A BIT , SIJAWAH KUKOMENT ILA MARA NYING UNAKUWA MIAYAYUSHO , SORRY NI MTAZAMO TU
Mm huwa napingana sana na Jemedali na Geoffrey lkn kwa leo tupo pamoja kabisa nmpaka nawaza au kuna upogaji kwenye kumfukuza kocha na kumsajili kocha mpya?? Mana ukirudi nyuma kwa gamondi mpaka leo kwa Pedro huoni shida kubwa sana kwa makocha. Sasa ww unaona kabisa wachezaji wanafuruliza mechi kibao ndani ya mwezi mmoja bado unataka matokeo yanayofanana?? Kweli!!!??hapana
Jemedari mkundu unamuwasha
Hawa wote hawawezi kuitakia YANGA mema. Wachambuzi wa Simba ..... Jeff Lea umbea imekujaa ndio maana una misimu mitano bila kombe lolote la lig
Ichi kipindi aki ingia jemedari ni mabishano tu na kutoleana hadisi za zamani usenge mtupu 🚮🚮🚮