Sign in to join the conversation
Tunashangila kuwazidi points tano na nyie kuwa mbali na ubingwa.
Aliochomoa ashangilie
Simba hovyooo
Muhindi huna maajabu . Kauze kuku uko
Hao simba wacheni wapumzike maana wamechanganyikiwa Bora waliopata kombe la mapinduzi ingekuwa balaa wasingepata.
JAMBIA AMESEMA YANGA INANUNUA MECHI,YAWEZEKANA HIZI GOLI MBILI SIMBA WAMETUUZIA
Baada ya mechi,Yanga wanatoka wanafurshi walikuwa wapoteza,Yanga wansshangilia sare
Inatokea mpira dakika 90.mwaka 2013 Yanga hadi mapumziko anaongoza 3 bila,kipindi cha pili Simba akachomoa zote.Yanga yamoto ya akina Hamis kiiza Diego,Haruna Hakizimana Niyonzima n,k acheni pressure mpira dk 90 lolote hutokea
hivi magoli yote yaliofungwa uchawi umetumikaje pale??
Badala yakumtoa Maema unamtoa Mpanzu siupumbavu huo
😂😂😂😂😂😂
Ujinga w Simba,kizembe,tuore,, uongoz,hauna,,ukali,,
Kweli mritakiwa kudhinda ila imekuwaje uwezi au
Hawa ndio Kolo wa Few moment later 😂😂😂😂😂 anasema amefurahia Kutoa Sare hapo hapo anasema ameumia
Simba uwezo mdogo. Acheni lawama
Kutumia udhaifu wa mtu dhaifu ni kushinda.
MUARABU KAPANIKI BALAA 😅😅😅😅😅😅😅
MUULIZE MECHI YA DERBY YA MWISHO MSIMU ULIOPITA MAREFA WALITOKA MISRI NAO YANGA ALIWANUNUA?
MECHI 8 BILA KUIFUMGA YANGA!
HILI NALO HUWA NI KUBWA JINGA TU,MTU ANAKUZIDI POINTS 5,PIA KATOKA NYUMA NA KUCHOMOA GOLI MBILI, KWANN ASISHANGIKIE?
Tunashangila kuwazidi points tano na nyie kuwa mbali na ubingwa.
Aliochomoa ashangilie
Simba hovyooo
Muhindi huna maajabu . Kauze kuku uko
Hao simba wacheni wapumzike maana wamechanganyikiwa Bora waliopata kombe la mapinduzi ingekuwa balaa wasingepata.
JAMBIA AMESEMA YANGA INANUNUA MECHI,YAWEZEKANA HIZI GOLI MBILI SIMBA WAMETUUZIA
Baada ya mechi,Yanga wanatoka wanafurshi walikuwa wapoteza,Yanga wansshangilia sare
Inatokea mpira dakika 90.mwaka 2013 Yanga hadi mapumziko anaongoza 3 bila,kipindi cha pili Simba akachomoa zote.Yanga yamoto ya akina Hamis kiiza Diego,Haruna Hakizimana Niyonzima n,k acheni pressure mpira dk 90 lolote hutokea
hivi magoli yote yaliofungwa uchawi umetumikaje pale??
Badala yakumtoa Maema unamtoa Mpanzu siupumbavu huo
😂😂😂😂😂😂
Ujinga w Simba,kizembe,tuore,, uongoz,hauna,,ukali,,
Kweli mritakiwa kudhinda ila imekuwaje uwezi au
Hawa ndio Kolo wa Few moment later 😂😂😂😂😂 anasema amefurahia Kutoa Sare hapo hapo anasema ameumia
Simba uwezo mdogo. Acheni lawama
Kutumia udhaifu wa mtu dhaifu ni kushinda.
MUARABU KAPANIKI BALAA 😅😅😅😅😅😅😅
MUULIZE MECHI YA DERBY YA MWISHO MSIMU ULIOPITA MAREFA WALITOKA MISRI NAO YANGA ALIWANUNUA?
MECHI 8 BILA KUIFUMGA YANGA!
HILI NALO HUWA NI KUBWA JINGA TU,MTU ANAKUZIDI POINTS 5,PIA KATOKA NYUMA NA KUCHOMOA GOLI MBILI, KWANN ASISHANGIKIE?