"Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market" #sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate
ADVERTISEMENT
Goli moja ni goli na pointi tatu.
Fua jenzi ya simba hauna utofauti na shoga
Mchome anaongea kimpira kbs lkn kuna mashabiki machawa wasiojuwa mpira wamekwenda kumfukuza kocha na ungozi ulivyokuwa kuwa hawako makini wamekurupukaa wameshajirogaa ubingwa wasahau kabisaa
Wewe si ulisema wanahabari wamezuiliwa kuwahoji wewe na Mzee Saidi?
avue jezi ya Simba ,anakera sanaaaaa
Nani huwa anamhoji
Mpenzi kazi ya uchambuzi mchome anaongea kimpira.zaid sio ushabiki kama wale wengine wapiga kelele
Hzo hesab hakuwa nazo mwanzo
Mchome ulijueje kuwa kocha watamfukuza
Nawaomba mnifollow, mniulize jinsi ya kupata donation za laptops na vitu mbalimbali kutoka Ulaya na connection ya marafiki wa Ulaya. Asante.
Mpuuzi
Hivi hadi leo anamdanganya nani asiemfahamu kuwa yeye ni kibaraka wa NYUMA MWIKO ? anachokoza watu kisha yakija kumpata majanga anayoyatengeneza kwa mikono yake atalia na nani ?
Lina chekacheka tu kama zuzu. Huwezi angalia mechiya Simba ww hata useme nn vuahiyo jezi utakuja kukuponza
Kwani ule uwanja wa yanga na engeneer vp mbona Tunapenda kudanganyama jamani?