Ungekua una ongea haya kila unapo isimea timu Yako hakika ningeku penda maana ume zungumza ukweli ulivyo Ahmed Ally uwe msema kweli mbwembwe achana nazo msema kweli ni mpenzi wa mungu
V
vanessa_carlson4 months ago
Signal zinasoma na kukata network, yaani Dishi hili sijui dawa yake ni nini😂
franz-xaver_scheel4 months ago
Excuses nyingi sana mzee baba uwanja ni mbovu kweli kwani we hujui😂😂
J
jilllewis3304 months ago
Mmefunga gol la of Saidi lile la chama
B
benitosolorzano764 months ago
Simba hawezi kushinda bila penalt
eloah_damata4 months ago
Pole 😮
M
mohammed.barrett4 months ago
Uwanja haukuwa na hali nzuri. Kwenye ukweli tusimumunye maneno.
S
saanvi.sha4 months ago
Kwa kweli semaji inauma lakini tafanyaje
abigailbrown4824 months ago
Content ya hovyo
A
amanda.knight3 months, 4 weeks ago
Ambieni uongozi wenu wafanye sajili sahihi munaweza kuwa timu bora msimu ujawo, vinginevyo, sahau YANGA atazidi kuwa bingwa kila msimu
M
michelle.ortega4 months ago
Topeni.
tracey_ramos4 months ago
Uwanja mbovu sana
alexislopez2634 months ago
Msiwe mnaiponda yanga na mnajua ndy kipimo chenu kwenye ligi
gerolfechoing174 months ago
Ni faraja mbovu ubingwa mwaka jana ilikuwa mikononi mwetu tukapoteza kizembe pia mechi ya Leo hakika timu yetu Ina wachezaji wazembe mno wanajistarehesha kabla ya mechi Keisha kapombe na toure mara nyingi wakiwa pamoja pale kati ni wazembe sana,tumefungwa kizembe mno
V
victoria_elliott4 months ago
Hamtuwezi nyinyi bila penant
H
hugo.ozuna3 months, 4 weeks ago
Umeongea vyema sana leo umenifrahisha leo kama umekubali ulikua mteja safi sana
S
shawn.henderson3 months, 4 weeks ago
Yaani mungu katenda kuleta marefa mngesema yanga kabebwa
D
davimiguel_silveira4 months ago
Wameshindwa na umeshindwa
L
lisa_hayes3 months, 4 weeks ago
Sawa ninyi Simba jivunieni improvement tukutane mwisho wa msimu sisi tukijivunia ubingwa wa ligi
Ungekua una ongea haya kila unapo isimea timu Yako hakika ningeku penda maana ume zungumza ukweli ulivyo Ahmed Ally uwe msema kweli mbwembwe achana nazo msema kweli ni mpenzi wa mungu
Signal zinasoma na kukata network, yaani Dishi hili sijui dawa yake ni nini😂
Excuses nyingi sana mzee baba uwanja ni mbovu kweli kwani we hujui😂😂
Mmefunga gol la of Saidi lile la chama
Simba hawezi kushinda bila penalt
Pole 😮
Uwanja haukuwa na hali nzuri. Kwenye ukweli tusimumunye maneno.
Kwa kweli semaji inauma lakini tafanyaje
Content ya hovyo
Ambieni uongozi wenu wafanye sajili sahihi munaweza kuwa timu bora msimu ujawo, vinginevyo, sahau YANGA atazidi kuwa bingwa kila msimu
Topeni.
Uwanja mbovu sana
Msiwe mnaiponda yanga na mnajua ndy kipimo chenu kwenye ligi
Ni faraja mbovu ubingwa mwaka jana ilikuwa mikononi mwetu tukapoteza kizembe pia mechi ya Leo hakika timu yetu Ina wachezaji wazembe mno wanajistarehesha kabla ya mechi Keisha kapombe na toure mara nyingi wakiwa pamoja pale kati ni wazembe sana,tumefungwa kizembe mno
Hamtuwezi nyinyi bila penant
Umeongea vyema sana leo umenifrahisha leo kama umekubali ulikua mteja safi sana
Yaani mungu katenda kuleta marefa mngesema yanga kabebwa
Wameshindwa na umeshindwa
Sawa ninyi Simba jivunieni improvement tukutane mwisho wa msimu sisi tukijivunia ubingwa wa ligi
Wateja hoyeeee😂😂