0:00
31:01
31:01

MZEE SAID!OKELLO NI MCHEZAJI MKUBWA SANA YANGA/CHAMA NI KIZAZI CHA NEMESI SIYO KWA UBORA HUU SIMBA

Sports

kuwa wa kwanza kupata taarifa mpya za michezo, burudani, na makala mbali mbali hapa chapesa tv, usisahau subscribes

ADVERTISEMENT

Comments 85

Sign in to join the conversation

Sign in
ashleyjames985
ashleyjames985 1 month ago

Mm nlisha kwambia mzee wangu Mzee said nakuombea miaka 100 tuendelee kupata burudani maan nkiwaga na stress nakusikiliza Mzee wangu❤❤

H
hortensepoirier453 1 month ago

Mze side ww hukoseyi

gerolfechoing17
gerolfechoing17 1 month ago

😂😂😂

gerolfechoing17
gerolfechoing17 1 month ago

Hongera sana Mzee Said yaan katika mashabik ambao hawajielew ni mashabik wa Simba samahan siwatukan timu yenu inashindwa kuchukua ubingwa Tena miaka minne sahv huu ni mwaka wa 5 mfululizo hamubebi ubingwa mnakuja kupumbazwa kwa goli la chama ndo mtashangilia mwaka mzma sahv mashabik wote wa Simba mmejaa kweny mfumo mnashangilia badala mlalamike timu ibebe ubingwa mnashangilia goli sijui mlirogwa na nan nyie sawa kazanen sis wale Yanga bingwa 💛💚💛💚💛💚

J
joão.costa 1 month ago

Mzee Side Simba mliloga Yanga ilishituka ndio maana tulivalia nguo Jumba la dhaabu nakwanini mnahama isamiyo pia wachezaji wa Simba kina Chama wanakuka dawa za kuongeza nguvu

A
andrew_montgomery 1 month ago

Mitano tena Mzee Said vipi mshee sjambo maua yaje🎉🎉🎉❤❤❤

J
james_west 1 month ago

Mzee side 🎉🎉🎉🎉❤

A
adán.cuellar 1 month ago

MUNGU Akujaalie maisha marefu sana mzee said 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

B
beth.cisneros 1 month ago

Myngu ampe umri mrefu mzee said fund wa football

R
ross.craig 1 month ago

Chapesa msalimie sana Mzee wangu Said naomba sana 🙏🙏🙏🙏 Niko mkoa wa Katavi Mimi shabiki wenu kindakindaki

W
wandamyst1 1 month ago

Huyu said anatakiwa awe mshauri wa baraza la mawaziri

dagmarcascade31
dagmarcascade31 1 month ago

Mzee said yanga kipindi cha.korona walibadlishia kwenye mabenchi

J
james_west 1 month ago

ila babu chama anatafuta mkataba ulionona simba pale anapigania kupata mkataba mnono

E
enzogabriel_pacheco 1 month ago

Fei Toto akizunguruka huku analoges maki juju mfuko Wa sukari akifanya hivi anapigwa tambi

kerry_nicholson
kerry_nicholson 1 month ago

Jamani mzee saidi tumpe mauwa yake tu🎉🎉🎉🎉 hata usipo mpenda utajijiju mwenyewe😅😅😅😅

B
brenda.padilla 1 month ago

Chapesa nisaidie namba ya mzee saidi nimpe zawadi unajua sasa hivi napenda kumsikiliza sana inatakiwa awe mchambuzi

angela.patterson
angela.patterson 1 month ago

Nimerudia jingo mara 4 hivi kabla sijaanza kupata madini ya mzee Saidi😂😂 Chapesa Media hongera kwa ubunifu

gerolfechoing17
gerolfechoing17 1 month ago

Side mnyamwez ❤❤

H
hans-heinrich.segebahn 1 month ago

Said,semaa

J
jacquelinesanchez870 1 month ago

Siku mangu gu akiondoka simba ndo mzee saidi mtamuelewa anachopigania😂😂😂😂😂😂sahiv muoneni tu mropokaji just wait