kuwa wa kwanza kupata taarifa mpya za michezo, burudani, na makala mbali mbali hapa chapesa tv, usisahau subscribes
ADVERTISEMENT
kuwa wa kwanza kupata taarifa mpya za michezo, burudani, na makala mbali mbali hapa chapesa tv, usisahau subscribes
Mm nlisha kwambia mzee wangu Mzee said nakuombea miaka 100 tuendelee kupata burudani maan nkiwaga na stress nakusikiliza Mzee wangu❤❤
Mze side ww hukoseyi
😂😂😂
Hongera sana Mzee Said yaan katika mashabik ambao hawajielew ni mashabik wa Simba samahan siwatukan timu yenu inashindwa kuchukua ubingwa Tena miaka minne sahv huu ni mwaka wa 5 mfululizo hamubebi ubingwa mnakuja kupumbazwa kwa goli la chama ndo mtashangilia mwaka mzma sahv mashabik wote wa Simba mmejaa kweny mfumo mnashangilia badala mlalamike timu ibebe ubingwa mnashangilia goli sijui mlirogwa na nan nyie sawa kazanen sis wale Yanga bingwa 💛💚💛💚💛💚
Mzee Side Simba mliloga Yanga ilishituka ndio maana tulivalia nguo Jumba la dhaabu nakwanini mnahama isamiyo pia wachezaji wa Simba kina Chama wanakuka dawa za kuongeza nguvu
Mitano tena Mzee Said vipi mshee sjambo maua yaje🎉🎉🎉❤❤❤
Mzee side 🎉🎉🎉🎉❤
MUNGU Akujaalie maisha marefu sana mzee said 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Myngu ampe umri mrefu mzee said fund wa football
Chapesa msalimie sana Mzee wangu Said naomba sana 🙏🙏🙏🙏 Niko mkoa wa Katavi Mimi shabiki wenu kindakindaki
Huyu said anatakiwa awe mshauri wa baraza la mawaziri
Mzee said yanga kipindi cha.korona walibadlishia kwenye mabenchi
ila babu chama anatafuta mkataba ulionona simba pale anapigania kupata mkataba mnono
Fei Toto akizunguruka huku analoges maki juju mfuko Wa sukari akifanya hivi anapigwa tambi
Jamani mzee saidi tumpe mauwa yake tu🎉🎉🎉🎉 hata usipo mpenda utajijiju mwenyewe😅😅😅😅
Chapesa nisaidie namba ya mzee saidi nimpe zawadi unajua sasa hivi napenda kumsikiliza sana inatakiwa awe mchambuzi
Nimerudia jingo mara 4 hivi kabla sijaanza kupata madini ya mzee Saidi😂😂 Chapesa Media hongera kwa ubunifu
Side mnyamwez ❤❤
Said,semaa
Siku mangu gu akiondoka simba ndo mzee saidi mtamuelewa anachopigania😂😂😂😂😂😂sahiv muoneni tu mropokaji just wait