Mzee Said elimu hana tuu ila anajua sn kuelezea mpira kuliko hata hawa vijana wa sasa hawajui kbs na mpira wameanza majuzi tuu.hawakuepo kipindi cha simba vs yanga ya miaka ya hata 1990.Big up sn
J
joe_hammond3 months, 3 weeks ago
Mzee said mwenyezi MUNGU akupe maisha marefu wew ni msema ukwel mda wote
melanie.campbell3 months, 3 weeks ago
Hongera sana Chapesa kwa kutuletea Habari za uhakika burudani na zenye kufurahisha na kutuburudisha msalimie sana mzee saidi mwambie Chifu mteule wa morogoro anamsalimia sana na ninawaombea sana duwaa nyinyi wotee pia tunawapenda sana na kuwafuatilia sana
D
danielleadams3403 months, 3 weeks ago
Mzee said anajuwa sana 💪, anazungumza point kabisa Pia huwa anatoa burudani kubwa Sana !! Mechi kubwa zikicheza TU napenda sana kumsikiliza huyu mzee , chapesamedia tunaimba ujitahid sana kutusogezea vipindi vya michezo!!
D
daniel_wali3 months, 3 weeks ago
Upo sawa mzee said
A
adán.cuellar3 months, 3 weeks ago
MUNGU Akujaalie maisha marefu sana mzee said 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Z
zoé_rousset3 months, 3 weeks ago
Chapesa naomba uwe unatuwekea namba za mzee ili awe anaokota bwana
angela.patterson3 months, 3 weeks ago
Nimerudia jingo mara 4 hivi kabla sijaanza kupata madini ya mzee Saidi😂😂 Chapesa Media hongera kwa ubunifu
claude.renard3 months, 3 weeks ago
Sawa mzeee
L
liabeier2613 months, 3 weeks ago
❤
C
carol_atkinson3 months, 3 weeks ago
Namba ni iyo kwenye screen
dagmarcascade313 months, 3 weeks ago
Weka namba za mzee saidi watu tutume pesa
I
ianvoid393 months, 3 weeks ago
Chapesa ata 9x3 hujui😅😅😅
advika_tara3 months, 3 weeks ago
Kweli bhn chapesa waweke namba ya mzee zaid tumtumie soda
A
angela_rodriguez3 months, 3 weeks ago
Mzee Said na wewe Chapesa ule uwanja unaitwa Meja Jeneral Isamuyo siyo Meja Isamuyo. Hivyo vyeo vimetofautiana mbali sana hebu usimshushe Mkuu wetu huyo mstaafu Isamuyo cheo chake.😂😅😅😅.
N
nermin.täsche3 months, 3 weeks ago
MZEE SAID NI MTU NA NUSU
H
hortensepoirier4533 months, 3 weeks ago
CHAPESA jitahidi kujua taarifa zako vizuri. Yaaan kuna muda hua unachanganya, mfano hapo umesema alitoka yao akaingia depu wakati ni buba. Maranyingi hua una changanya Taarifa kaka. Ila kazi yako njema
gerolfechoing173 months, 3 weeks ago
Hongera sana Mzee Said yaan katika mashabik ambao hawajielew ni mashabik wa Simba samahan siwatukan timu yenu inashindwa kuchukua ubingwa Tena miaka minne sahv huu ni mwaka wa 5 mfululizo hamubebi ubingwa mnakuja kupumbazwa kwa goli la chama ndo mtashangilia mwaka mzma sahv mashabik wote wa Simba mmejaa kweny mfumo mnashangilia badala mlalamike timu ibebe ubingwa mnashangilia goli sijui mlirogwa na nan nyie sawa kazanen sis wale Yanga bingwa 💛💚💛💚💛💚
R
ross.craig3 months, 3 weeks ago
Chapesa msalimie sana Mzee wangu Said naomba sana 🙏🙏🙏🙏 Niko mkoa wa Katavi Mimi shabiki wenu kindakindaki
Mzee Said elimu hana tuu ila anajua sn kuelezea mpira kuliko hata hawa vijana wa sasa hawajui kbs na mpira wameanza majuzi tuu.hawakuepo kipindi cha simba vs yanga ya miaka ya hata 1990.Big up sn
Mzee said mwenyezi MUNGU akupe maisha marefu wew ni msema ukwel mda wote
Hongera sana Chapesa kwa kutuletea Habari za uhakika burudani na zenye kufurahisha na kutuburudisha msalimie sana mzee saidi mwambie Chifu mteule wa morogoro anamsalimia sana na ninawaombea sana duwaa nyinyi wotee pia tunawapenda sana na kuwafuatilia sana
Mzee said anajuwa sana 💪, anazungumza point kabisa Pia huwa anatoa burudani kubwa Sana !! Mechi kubwa zikicheza TU napenda sana kumsikiliza huyu mzee , chapesamedia tunaimba ujitahid sana kutusogezea vipindi vya michezo!!
Upo sawa mzee said
MUNGU Akujaalie maisha marefu sana mzee said 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Chapesa naomba uwe unatuwekea namba za mzee ili awe anaokota bwana
Nimerudia jingo mara 4 hivi kabla sijaanza kupata madini ya mzee Saidi😂😂 Chapesa Media hongera kwa ubunifu
Sawa mzeee
❤
Namba ni iyo kwenye screen
Weka namba za mzee saidi watu tutume pesa
Chapesa ata 9x3 hujui😅😅😅
Kweli bhn chapesa waweke namba ya mzee zaid tumtumie soda
Mzee Said na wewe Chapesa ule uwanja unaitwa Meja Jeneral Isamuyo siyo Meja Isamuyo. Hivyo vyeo vimetofautiana mbali sana hebu usimshushe Mkuu wetu huyo mstaafu Isamuyo cheo chake.😂😅😅😅.
MZEE SAID NI MTU NA NUSU
CHAPESA jitahidi kujua taarifa zako vizuri. Yaaan kuna muda hua unachanganya, mfano hapo umesema alitoka yao akaingia depu wakati ni buba. Maranyingi hua una changanya Taarifa kaka. Ila kazi yako njema
Hongera sana Mzee Said yaan katika mashabik ambao hawajielew ni mashabik wa Simba samahan siwatukan timu yenu inashindwa kuchukua ubingwa Tena miaka minne sahv huu ni mwaka wa 5 mfululizo hamubebi ubingwa mnakuja kupumbazwa kwa goli la chama ndo mtashangilia mwaka mzma sahv mashabik wote wa Simba mmejaa kweny mfumo mnashangilia badala mlalamike timu ibebe ubingwa mnashangilia goli sijui mlirogwa na nan nyie sawa kazanen sis wale Yanga bingwa 💛💚💛💚💛💚
Chapesa msalimie sana Mzee wangu Said naomba sana 🙏🙏🙏🙏 Niko mkoa wa Katavi Mimi shabiki wenu kindakindaki
Mzee Saidy wewe noma sana