#Bongoheadlines #Football #Entertaiment #Yanga sc #SimbaSc #SimbanaYanga #Diamond platnumz #Mbosso #Harmonize #Marioo #Jux #Alikiba
Sign in to join the conversation
Kumbe Yanga ni bora
Zanzibar mushukulu penati mumepata dakika za mwisho lingerudi pumbavu😂😂😂 tukutane efuei
Tunashangilia sare tunaogoza ligi
Hahahahaha kwel uy ni mchungaji wa simba
Ongea harak tunakaa mbali
Mzee yupo vizuri
Sare hii kwetu faida koz nko juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu😅😅😅😅😅😅
Sisi hatuja shangili sale tumetabasamu vile mnahangaika kuona tupo mbele point 5
Goli lachama offside mmepewa maana alikuwa mbele kasubiri mpira kabisa kibendela hakuwa makini
Pacome na dube walikamatwa kwenye offside wakati walikuwa onside
Acha ujinga tunashangilia ubingwa
Wee unashinda mbili unkuja kusawazishiwa utasema una timu kweri huna ubora bhn endeleeni kujifua
Shangilieni sare Simba
Wewe fala usinguse kipa kapambana sana
mezoea kupewa penati?? acha ushaba tuna kueshimu
Yanga bingwa 🎉🎉
mchungaji safi sana
Hatu shangilii sare tuna shangirya ubingwa❤🎉🎉
Na mshukuru Mungu liuwanja lenu libovu na refa alikuwa familia yenu kwa chama Ile ilikuwa off side
Umezoea Ile sio penati karudie kuangalia
Kumbe Yanga ni bora
Zanzibar mushukulu penati mumepata dakika za mwisho lingerudi pumbavu😂😂😂 tukutane efuei
Tunashangilia sare tunaogoza ligi
Hahahahaha kwel uy ni mchungaji wa simba
Ongea harak tunakaa mbali
Mzee yupo vizuri
Sare hii kwetu faida koz nko juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu😅😅😅😅😅😅
Sisi hatuja shangili sale tumetabasamu vile mnahangaika kuona tupo mbele point 5
Goli lachama offside mmepewa maana alikuwa mbele kasubiri mpira kabisa kibendela hakuwa makini
Pacome na dube walikamatwa kwenye offside wakati walikuwa onside
Acha ujinga tunashangilia ubingwa
Wee unashinda mbili unkuja kusawazishiwa utasema una timu kweri huna ubora bhn endeleeni kujifua
Shangilieni sare Simba
Wewe fala usinguse kipa kapambana sana
mezoea kupewa penati?? acha ushaba tuna kueshimu
Yanga bingwa 🎉🎉
mchungaji safi sana
Hatu shangilii sare tuna shangirya ubingwa❤🎉🎉
Na mshukuru Mungu liuwanja lenu libovu na refa alikuwa familia yenu kwa chama Ile ilikuwa off side
Umezoea Ile sio penati karudie kuangalia