KARIAKOO DERBY: Ni sare ya mabao 2-2 kati ya Simba vs Yanga, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo. Simba wametangulia kwa magoli mawili yaliyofungwa na Libase Gueye na Clatous Chama, lakini Yanga wakachomoa zote kupitia kwa Prince Dube na Bakari Mwamnyeto. Tazama highlights
ADVERTISEMENT
Yanga bingwa🎉
Hao Makolo Kumfunga Yanga Labda Kwa Juice Ya Zambalau Na Dk 120 Tena Na Penalty juu😂😂😂
Praise Jesus christ guys?
Hii mechi Young mwenyewe amejijima ushindi Hila alistahili kushinda wamekosa goli nyingi sana
Jesus christ is the way, the truth and the life
Goli la chama ni clear offside kbsaa
Ila Diara maua yako babaaa🎉🎉🎉❤
comeback ya yanga inauma sana aisee
A few moment later😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwahyo Azam mkaona madhambi aliyochezewa Depu hayafai kuletwa mbele ya umma 😂😂😂😂😂
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 💛💚💛💚 Mwageni Moto 🔥🔥🔥 Kama Dragon YANGA BINGWA 🏆🥇
Walichomoa je! Walichomwa na nini?
Yanga bingwa wa Nbc na crdb
Nimependa kiwango cha yao
Kama tungezidisha umakini kidogo tu my wetu tungemla comeback ya chuma nne🤗
If you see pacome playing you will think that sele mwalimu is a carpenter😂
This is Dar young Africain Merci Merci Merci
Yanga bingwa💚💛💚💛
Kocha wangu WA Simba mech tatu sas unyonge hmn
🤣🤣🤣🤣🤣nilikuwa nalia ila yanga wamenifanya niwe happy kubwa kabisa