0:00
15:47
15:47

Simba SC 2-2 Yanga SC | Highlights | Kariakoo Derby | NBC PL 03/05/2026

KARIAKOO DERBY: Ni sare ya mabao 2-2 kati ya Simba vs Yanga, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo. Simba wametangulia kwa magoli mawili yaliyofungwa na Libase Gueye na Clatous Chama, lakini Yanga wakachomoa zote kupitia kwa Prince Dube na Bakari Mwamnyeto. Tazama highlights

ADVERTISEMENT