Hayo ndio matokeo ya mpira hakuna wa kulaumiwΓ ilikua ni lazima kufungwa tumepata nafasi nyingi za kumaliza mechi hakuna lawama ni lazima
H
hugo.ozuna3Β months, 2Β weeks ago
Mwamnyeto ndio msababishi wa Yanga kupoteza ushindi ktk mchezo wa leo! Huyo ukimuamini, anachoma wakati wowote!
hannahrichardson8563Β months, 2Β weeks ago
Kwahiyo nani bingwa mpaka sasa mchezo ukiisha leo
G
genaro.chavarrΓa3Β months, 2Β weeks ago
Diarra nae apewe Adhabu na Timu kwa kuzira mchezo wakati Timu inataka ushindi
C
cynthia.horn3Β months, 2Β weeks ago
YANGA UBINGWA BYE BYEEEEEEEEEEEEEE πππ
christine_woods3Β months, 2Β weeks ago
Waacha yanga kukaba kwa macho wanarudi nyuma ili iweje? Mwamnyeto tunakupenda lakini leo umetukosea
L
laurencebailly2563Β months, 2Β weeks ago
πππ wazee wa unbeaten
C
cynthia.horn3Β months, 2Β weeks ago
β€β€β€
R
rodrigo.mendes3Β months, 2Β weeks ago
ππππ
M
martin_hayes3Β months, 2Β weeks ago
Yyule buba atakiwa ata kuvaa jez ya yanga me nashangaa alitoa ela kumsajili buba mungu anamuona
H
hakanhenk7473Β months, 2Β weeks ago
Kawaida
utkarsh.kalita3Β months, 2Β weeks ago
Ndio MNa mm naomba mungu jobu arud Yan mm ndio me nawambiaga mwamyeto so Bek wakawaida San magori yote. Mawaili kachoma yeye
A
andrew_montgomery3Β months, 2Β weeks ago
Halafu Koch alichelewankumtoa dude ambaye game imemkataa leo
advaithsoni6543Β months, 2Β weeks ago
Me ssishangai kwkua niliona toka dak ya 10 tim ilivokua inaacha nafas mianya kibao nilijua tu dodoma wakiwa makin tunafungwa
V
vanessa_carlson3Β months, 2Β weeks ago
Tim inapoteza mpla yan tim. Aina kuliakit kupoteza mpla yan daaa mwakana kuna wachezag yanga watupishe
mariacecΓliaalbuquerque4273Β months, 2Β weeks ago
ππ Duu Leo Yanga wanachapwa Bao 3 na Dodoma Jiji, imekuwa ISSUE. Yanga watulie sana. Zengeli kutolewa ilikuwa kosa kubwa. Hivyo Ndivyo Soka ililivyo.
N
nehaganesh9763Β months, 2Β weeks ago
Tutafute kocha mwingine ambaye atachukua hatua kwa Mwamnyeto akae benchi
pedrolucas.abreu3Β months, 2Β weeks ago
Lakini hivi tujiulize marefa wa Tanzania wanafanya makusudi au kuna nini goli la pili la okelo ni halali au ndo maana simba wapepewa club bora kisa marefarii wanabeba wazi
H
harryjames2113Β months, 2Β weeks ago
Hatuna golikipa mbadala, yaani asipokuwepo Diarra basi wanatufunga kirahisi sana
Hayo ndio matokeo ya mpira hakuna wa kulaumiwΓ ilikua ni lazima kufungwa tumepata nafasi nyingi za kumaliza mechi hakuna lawama ni lazima
Mwamnyeto ndio msababishi wa Yanga kupoteza ushindi ktk mchezo wa leo! Huyo ukimuamini, anachoma wakati wowote!
Kwahiyo nani bingwa mpaka sasa mchezo ukiisha leo
Diarra nae apewe Adhabu na Timu kwa kuzira mchezo wakati Timu inataka ushindi
YANGA UBINGWA BYE BYEEEEEEEEEEEEEE πππ
Waacha yanga kukaba kwa macho wanarudi nyuma ili iweje? Mwamnyeto tunakupenda lakini leo umetukosea
πππ wazee wa unbeaten
β€β€β€
ππππ
Yyule buba atakiwa ata kuvaa jez ya yanga me nashangaa alitoa ela kumsajili buba mungu anamuona
Kawaida
Ndio MNa mm naomba mungu jobu arud Yan mm ndio me nawambiaga mwamyeto so Bek wakawaida San magori yote. Mawaili kachoma yeye
Halafu Koch alichelewankumtoa dude ambaye game imemkataa leo
Me ssishangai kwkua niliona toka dak ya 10 tim ilivokua inaacha nafas mianya kibao nilijua tu dodoma wakiwa makin tunafungwa
Tim inapoteza mpla yan tim. Aina kuliakit kupoteza mpla yan daaa mwakana kuna wachezag yanga watupishe
ππ Duu Leo Yanga wanachapwa Bao 3 na Dodoma Jiji, imekuwa ISSUE. Yanga watulie sana. Zengeli kutolewa ilikuwa kosa kubwa. Hivyo Ndivyo Soka ililivyo.
Tutafute kocha mwingine ambaye atachukua hatua kwa Mwamnyeto akae benchi
Lakini hivi tujiulize marefa wa Tanzania wanafanya makusudi au kuna nini goli la pili la okelo ni halali au ndo maana simba wapepewa club bora kisa marefarii wanabeba wazi
Hatuna golikipa mbadala, yaani asipokuwepo Diarra basi wanatufunga kirahisi sana
Mbona''mwamnyeto''kacheza''vzr''sana''nyie''chura