Ligi yetu kivyetu vyetu, yaan mechi inacheza kesho wakati leo kuna mechi ya yanga lkn chaajabu mechi inatrend zaid ni simba kesho kuliko ya yanga leo hahahaha
jorge_razo3 months, 2 weeks ago
Hasira za nn wewe mzee?
C
carmen.vigil3 months, 2 weeks ago
Hizi timu za GSM ndo napendaga kuzifunga hua najisikia raha
L
laurie.morgan3 months, 2 weeks ago
Wewe ni familia Iko wazi ulijieleza kitambo na Huwa unalalamikia Huwa Simba hawakupi free pass!😂 Mwalimu professional huwezi jitangaza ni shabiki wa timu fulani😂
A
anastasiegermain6383 months, 2 weeks ago
Huyo ndio Jamhuri kiwelu atawapa majibu ya karaha Huyo atapewa pesa na GSM lakini anaongea kwa hasira sana
L
lisa_hayes3 months, 2 weeks ago
Huyo ni kocha Julio kiwelo lakin ameshajitangaza kuwa yeye ni mshabiki wa simba kwa hyo tutegemee gem nyepesi kwa simba
I
ianvoid393 months, 2 weeks ago
ww baba ww jishikiliye
D
daniel_garcia3 months, 2 weeks ago
Maneno ya shoomboo?
G
grégoire_louis3 months, 2 weeks ago
Wote one family
V
victoire_chrétien3 months, 2 weeks ago
Unae muuliza maswali Julio uwe na wewe umejipanga 😂😂
franz-xaver_scheel3 months, 2 weeks ago
Huyu hujipange kwa maswali
C
carrie.chambers3 months, 2 weeks ago
Huyo ndio Jamhuri kiwelu Julio hapana chezea kigoma ngoja kesho tuone nana atakula migebuka
gesine_schinke3 months, 2 weeks ago
hivi kwanini Yanga ndo hucheza kwanza then simba after,ukifatilia?
J
john.jensen3 months, 2 weeks ago
Muone huyu kocha hata hana aibu kusema samia anamaliza ligi
S
sallysimmons3453 months, 2 weeks ago
Dua la kuku ilo mbw ww
L
lucieadam193 months, 2 weeks ago
Julio siyo kama meck Mexime,kupumzisha wachezaji regula starta, ili kuwapa Yanga ubingwa
Confidence kubwa timu mbovu😂😂😂
Huyo atawapa majibu ya hovyo muacheni huyo Julio
Mdomo kamdomo
Mmmh kamdomo hako ngoja tuone
Ligi yetu kivyetu vyetu, yaan mechi inacheza kesho wakati leo kuna mechi ya yanga lkn chaajabu mechi inatrend zaid ni simba kesho kuliko ya yanga leo hahahaha
Hasira za nn wewe mzee?
Hizi timu za GSM ndo napendaga kuzifunga hua najisikia raha
Wewe ni familia Iko wazi ulijieleza kitambo na Huwa unalalamikia Huwa Simba hawakupi free pass!😂 Mwalimu professional huwezi jitangaza ni shabiki wa timu fulani😂
Huyo ndio Jamhuri kiwelu atawapa majibu ya karaha Huyo atapewa pesa na GSM lakini anaongea kwa hasira sana
Huyo ni kocha Julio kiwelo lakin ameshajitangaza kuwa yeye ni mshabiki wa simba kwa hyo tutegemee gem nyepesi kwa simba
ww baba ww jishikiliye
Maneno ya shoomboo?
Wote one family
Unae muuliza maswali Julio uwe na wewe umejipanga 😂😂
Huyu hujipange kwa maswali
Huyo ndio Jamhuri kiwelu Julio hapana chezea kigoma ngoja kesho tuone nana atakula migebuka
hivi kwanini Yanga ndo hucheza kwanza then simba after,ukifatilia?
Muone huyu kocha hata hana aibu kusema samia anamaliza ligi
Dua la kuku ilo mbw ww
Julio siyo kama meck Mexime,kupumzisha wachezaji regula starta, ili kuwapa Yanga ubingwa