FRIJI BOVU AWALIPUA YANGA, PAMOJA NA KUBEBWA NA REFA DODOMA WAMEWAPASUA. SIMBA WASHINDWE WENYEWE TU#azamfc #football #footballclub #globaltvonline #live #simba #simbasc #wasafi #millardayo #yanga
Sign in to join the conversation
Ally Kamwe achangishe PESA kwa mashabiki apewe refa arudishe point 3 kwa yanga ππ
Yanga walimfukuza kocha wao kwa madharau mola atawaonesha dharau zao zimewaponza
Alaaa siwamezoea kununua? Na wao wamenuniliwa at
Hiyo ndo yanga tunayo ifahamu sisi
Acha inyeshe tuone panapovuja π
Kweli zuluma imewaponza
Thuluma inawatesa wamezoea kubwebwa na marefa
Wachane babaaaaaΓ
LAANA YA PEDRO INAWATAFUNA.
Nanunua goli la mwamnyeto jamani
Safi sana Dodoma Nina zawandi yao
πππππ
Yaani nimefurahi sanaaaa
Upo vzr friji bovu karibu Sn Kateshi,
Raha tu
Kwa madeni anayodaiwa yanga ukute Dodoma jiji wanamdai yanga ndomana wamefanya mbwaiπ π
Huyu frigi bovu nakukubali anajua mpira sio ambokile na salamba
Yanga hawana mpira ila wanabebwa na waamuzi tu hata Leo mwamuzi aliwabeba ila ilishindikana tu
Machizi tyu yanga km machizi wengne wamezoea dhuruma kila cku kucheza mechi na malefa kimewalambaaa
Yanga wakiukosa ubingwa watalia sana maana huku tff faini fifa wanadaiwa mbali pesa anazowanunua waamuzi itakua kilio
Ally Kamwe achangishe PESA kwa mashabiki apewe refa arudishe point 3 kwa yanga ππ
Yanga walimfukuza kocha wao kwa madharau mola atawaonesha dharau zao zimewaponza
Alaaa siwamezoea kununua? Na wao wamenuniliwa at
Hiyo ndo yanga tunayo ifahamu sisi
Acha inyeshe tuone panapovuja π
Kweli zuluma imewaponza
Thuluma inawatesa wamezoea kubwebwa na marefa
Wachane babaaaaaΓ
LAANA YA PEDRO INAWATAFUNA.
Nanunua goli la mwamnyeto jamani
Safi sana Dodoma Nina zawandi yao
πππππ
Yaani nimefurahi sanaaaa
Upo vzr friji bovu karibu Sn Kateshi,
Raha tu
Kwa madeni anayodaiwa yanga ukute Dodoma jiji wanamdai yanga ndomana wamefanya mbwaiπ π
Huyu frigi bovu nakukubali anajua mpira sio ambokile na salamba
Yanga hawana mpira ila wanabebwa na waamuzi tu hata Leo mwamuzi aliwabeba ila ilishindikana tu
Machizi tyu yanga km machizi wengne wamezoea dhuruma kila cku kucheza mechi na malefa kimewalambaaa
Yanga wakiukosa ubingwa watalia sana maana huku tff faini fifa wanadaiwa mbali pesa anazowanunua waamuzi itakua kilio