Cholo shabiki wa SIMBA Apagwa baada ya Dodoma JIJI kupata ushindi mbele ya Yanga.
Sign in to join the conversation
Yanga bado ni bingwa kwa mwaka huu,kwa sababu siamini kama Simba wanaweza kumaliza michezo 8 iliyobaki wakashinda yote
Ni kweli kabisa jamaa anabebwa kweli huyu jamaa
Simba Bingwa mwaka huu
Lana Yao wamefukuza kocha Bila sababu
Kweli kabisa mwamba.
Namungo pia walizulumiwa
Nawasubiri Ambokile na Mkabaroho na Shoga Mchome.
Wachangishe hela kwa mashabiki apewe refa arudishe point 3 kwa yanga 😂😂
Kumfukuza kocha kosa kubwa yanga ilipokua juu ktk ligi
Magoli ni 3_1
KMC alizulumiwa penalti na Yanga,Simba alizulumiwa goli kwa Yanga, Namungo alizulumiwa na Yanga yapo makandokando mengi ya micho ya Yanga
Yanga bado ni bingwa kwa mwaka huu,kwa sababu siamini kama Simba wanaweza kumaliza michezo 8 iliyobaki wakashinda yote
Ni kweli kabisa jamaa anabebwa kweli huyu jamaa
Simba Bingwa mwaka huu
Lana Yao wamefukuza kocha Bila sababu
Kweli kabisa mwamba.
Namungo pia walizulumiwa
Nawasubiri Ambokile na Mkabaroho na Shoga Mchome.
Wachangishe hela kwa mashabiki apewe refa arudishe point 3 kwa yanga 😂😂
Kumfukuza kocha kosa kubwa yanga ilipokua juu ktk ligi
Magoli ni 3_1
KMC alizulumiwa penalti na Yanga,Simba alizulumiwa goli kwa Yanga, Namungo alizulumiwa na Yanga yapo makandokando mengi ya micho ya Yanga