#alikamwe #azizki #hersisaid #live_ #mayele #msuva #yanga #yangaleo #yangasc #yangatv
Sign in to join the conversation
Mchome wewe ndio shabiki wa simba pekeyako unaesema ukweli mimi nakupongeza sana 👍👏👏👊
Nakukubali sana kaka ujawai kuwa mnafiki ata siku Moja hishi humo humo
Huyu jamaa ameniibia akili zangu. Ni mm mtupu asee love you bro.............
Hata ofisi ikitoa ni hela na za wanayanga na zilizochangwa ni za Yanga.😊
Mchome ni suala la muda tu. Kuna siku watakosea kanuni ndo watajua Yanga ni nani.
Kwan kipindi yanga amefulia anaitwa bakuli fc, c walichangia mashabiki wake. So ni utamaduni wa yanga kuchangishana
Safi sana mchome kumbe unafuatilia Laliga
Kwani faini inaangalia analipa nani? Kinachotakiwa ni fani kulipwa tu
Makosa ni ya yanga. Wanaochanga ni wa yanga. Kwani waliopewa adhabu nani?
Si ela zetu jmn mbona wao inawauma
Wasiofahamu madudunduka kwani yanga ya nani na faini kapewa nani nani anasthili kulipa na timu ni ya wanachama?
Hp kwenye chama kumzidi walter umri hilo nalo neno
Chama alifuata nini kwenye Bench la Ufundi?
Msema ukweli.
Hivi Ahmed Alli tangu awe msemaji alibeba kombe la ligi kuu? Sikumbuki
Hiyo ni sense of ownership and commitment .
💚💚 💛💛
Mchome unajua sana kaka waambie mbumbu hao makolo
Wapumbavu ndio wanaohoji michango ya wanachama!Kwani nani hajui kwamba wanachama wanamiliki aslimia 51?Sasa mlitaka mama zenu ndio wachange?
Tatizo ni kalia ushabiki uliopo Kwa Simba ndiyo maana anaiumiza yanga,
Mchome wewe ndio shabiki wa simba pekeyako unaesema ukweli mimi nakupongeza sana 👍👏👏👊
Nakukubali sana kaka ujawai kuwa mnafiki ata siku Moja hishi humo humo
Huyu jamaa ameniibia akili zangu. Ni mm mtupu asee love you bro.............
Hata ofisi ikitoa ni hela na za wanayanga na zilizochangwa ni za Yanga.😊
Mchome ni suala la muda tu. Kuna siku watakosea kanuni ndo watajua Yanga ni nani.
Kwan kipindi yanga amefulia anaitwa bakuli fc, c walichangia mashabiki wake. So ni utamaduni wa yanga kuchangishana
Safi sana mchome kumbe unafuatilia Laliga
Kwani faini inaangalia analipa nani? Kinachotakiwa ni fani kulipwa tu
Makosa ni ya yanga. Wanaochanga ni wa yanga. Kwani waliopewa adhabu nani?
Si ela zetu jmn mbona wao inawauma
Wasiofahamu madudunduka kwani yanga ya nani na faini kapewa nani nani anasthili kulipa na timu ni ya wanachama?
Hp kwenye chama kumzidi walter umri hilo nalo neno
Chama alifuata nini kwenye Bench la Ufundi?
Msema ukweli.
Hivi Ahmed Alli tangu awe msemaji alibeba kombe la ligi kuu? Sikumbuki
Hiyo ni sense of ownership and commitment .
💚💚 💛💛
Mchome unajua sana kaka waambie mbumbu hao makolo
Wapumbavu ndio wanaohoji michango ya wanachama!Kwani nani hajui kwamba wanachama wanamiliki aslimia 51?Sasa mlitaka mama zenu ndio wachange?
Tatizo ni kalia ushabiki uliopo Kwa Simba ndiyo maana anaiumiza yanga,