USISAHAU KU-SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU KWA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU.
INSTAGRAM @pmtvtz
TIKTOK @officialpmtv
TOVUTI: www.pmtv.co.tz
Dodoma Jiji wameuvunja mwiko wa Yanga wa kutofungwa, unbeaten imefumuliwa, poleni watani ndo safari ilivyo!
B
bradley.page3 months, 2 weeks ago
Ukipata furaha leo furahi ya kesho ajuae Mungu.
M
matthewjimenez8023 months, 2 weeks ago
Unyama
M
maytemarroquín7193 months, 2 weeks ago
Hata mi nimefurahi BDO Zam bd mpaka waxem wanasimba
scottarc943 months, 2 weeks ago
Leo chekeni halafu kesho mcheze kistaa mtakutana na Julio kicheko kitawaishia muache kabisa ujinga kesho ingieni na mkakati hasa na chezeni kwa bidii sana mwalimu,lolemba,mpanzu,maema na libase acheni papara golini na acheni uchoyo Kuweni kama Chama na oura akiwa na nafasi ya kufunga kweli anafunga akiona mwenzake ananafasi nzuri zaidi anamtengea
advika_tara3 months, 2 weeks ago
Kibabage mbn kafurahi sana😅😅😅😅
B
beth.cisneros3 months, 2 weeks ago
Jamn zamu yetu bdo
D
dalton_gentry3 months, 1 week ago
Dunia imefurahi Uto ni kama Arsenal ikipoteza lzm dunia ifurahi😂😂😂
D
dimitrios_bonbach3 months, 2 weeks ago
Nimecheka sana
L
lauragallegos9373 months, 2 weeks ago
Saf sana ngoja kesho nawao wapigwe kesho sijui ntachekaje mie
claude.renard3 months, 2 weeks ago
mlizingua ile mechi ya dab,saiv tungekuwa tuna uhakika wa ubingwa
Ukipata fraha,unatakiwa ufurahi😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 razima tufulahi dodo wamepnguza mzigo
SASA KESHO MTUZINGUE SASA NA NYIE
Unbeaten 😂😂😂😂😂😂aaah
Dodoma Jiji wameuvunja mwiko wa Yanga wa kutofungwa, unbeaten imefumuliwa, poleni watani ndo safari ilivyo!
Ukipata furaha leo furahi ya kesho ajuae Mungu.
Unyama
Hata mi nimefurahi BDO Zam bd mpaka waxem wanasimba
Leo chekeni halafu kesho mcheze kistaa mtakutana na Julio kicheko kitawaishia muache kabisa ujinga kesho ingieni na mkakati hasa na chezeni kwa bidii sana mwalimu,lolemba,mpanzu,maema na libase acheni papara golini na acheni uchoyo Kuweni kama Chama na oura akiwa na nafasi ya kufunga kweli anafunga akiona mwenzake ananafasi nzuri zaidi anamtengea
Kibabage mbn kafurahi sana😅😅😅😅
Jamn zamu yetu bdo
Dunia imefurahi Uto ni kama Arsenal ikipoteza lzm dunia ifurahi😂😂😂
Nimecheka sana
Saf sana ngoja kesho nawao wapigwe kesho sijui ntachekaje mie
mlizingua ile mechi ya dab,saiv tungekuwa tuna uhakika wa ubingwa
Jamani tusicheke kesho ni sisi tunacheza jamani
😂😂😂😂
mbona ratifa ana kimbia camera
Usutukane Mto Kabra Hujavuka Mamba😮
Tukaneni mamba wakati hamjavuka mto