Wahovyo majaji wote wa bss ,Walimkataa harmonize Leo wanaona aibu
taylorsmith9243 months, 2 weeks ago
Kwani hao bss washamzalisha nani na kua msanii bora. Upuuzi tu
B
brittany.gutierrez3 months, 2 weeks ago
Huyo ndo Mungu bwana... Mmenyari mdada wa watu mkidhan mnamdidimiza... Ila ndo hvyo kashajulikana tayar
R
raagini_dhar3 months, 2 weeks ago
Hawa wanaokaa hapo mbele waambie waingie studio
C
carmen.vigil3 months, 2 weeks ago
Wewe madamu Rita na huyo salama wako niwapumbavu sana mnamzalilisha mtu harafu mnasema saf hivi hamjifunz kwa kondeboy mlimkataaga Leo Kiko wapi washenz sana
K
kristopherhart2943 months, 2 weeks ago
Kwani hiiiii Tv Gani 😂😂😂
D
davimiguel_silveira3 months, 2 weeks ago
Nandio maana Bss haijawahi kumtoa mtu akafika mbali kwenye level za wasanii top 20 Tanzania alitaka kujalibu msechu kachemka kayumba kachemka waliobaki wote hata majina hawajulikani😂😂😂😂
A
agathe_prévost3 months, 2 weeks ago
Yeye amejulikana na nyie mmeabika.
advaithsoni6543 months, 2 weeks ago
Hyo new niyakumjua kwel au mpya
M
melissa_haynes3 months, 2 weeks ago
Huo ujaji walisomea wapi kwanza. Hivi BSS kwa nini isifutwe kianzishwe kitu kingine tuone watamdhalilisha nani.
danieladams6073 months, 2 weeks ago
MBaya. Always hit 🎯
D
daniel.cantu3 months, 2 weeks ago
Hivisalama alikua msanii au alikua anaimba mwakagani
M
manyadaylight53 months, 2 weeks ago
Wameshaaa zeekaa hao. .hoja kuwasamehe tu
K
kristopherhart2943 months, 2 weeks ago
Ko mmawataftiaga umaarufu sio vipaji ili wawe mastaa??
S
stéphane.perrin3 months, 2 weeks ago
Walimpiga chura teke wakasahau kama ndo wamemuongezea speed
G
georgesnight773 months, 2 weeks ago
Hasa huyo msagaji
J
joão.costa3 months, 2 weeks ago
Na baada ya muda mfupi, Tillah atasahaulika na BSS itaendelea kuibua vipaji. Wabongo watampa Tillah sikio siku chache then watamwaga kama alivyomwagwa Mamaa Amina na wasanii kibao waliopewa attention kwa ajili ya trend ya muda mfupi.
Wahovyo majaji wote wa bss ,Walimkataa harmonize Leo wanaona aibu
Kwani hao bss washamzalisha nani na kua msanii bora. Upuuzi tu
Huyo ndo Mungu bwana... Mmenyari mdada wa watu mkidhan mnamdidimiza... Ila ndo hvyo kashajulikana tayar
Hawa wanaokaa hapo mbele waambie waingie studio
Wewe madamu Rita na huyo salama wako niwapumbavu sana mnamzalilisha mtu harafu mnasema saf hivi hamjifunz kwa kondeboy mlimkataaga Leo Kiko wapi washenz sana
Kwani hiiiii Tv Gani 😂😂😂
Nandio maana Bss haijawahi kumtoa mtu akafika mbali kwenye level za wasanii top 20 Tanzania alitaka kujalibu msechu kachemka kayumba kachemka waliobaki wote hata majina hawajulikani😂😂😂😂
Yeye amejulikana na nyie mmeabika.
Hyo new niyakumjua kwel au mpya
Huo ujaji walisomea wapi kwanza. Hivi BSS kwa nini isifutwe kianzishwe kitu kingine tuone watamdhalilisha nani.
MBaya. Always hit 🎯
Hivisalama alikua msanii au alikua anaimba mwakagani
Wameshaaa zeekaa hao. .hoja kuwasamehe tu
Ko mmawataftiaga umaarufu sio vipaji ili wawe mastaa??
Walimpiga chura teke wakasahau kama ndo wamemuongezea speed
Hasa huyo msagaji
Na baada ya muda mfupi, Tillah atasahaulika na BSS itaendelea kuibua vipaji. Wabongo watampa Tillah sikio siku chache then watamwaga kama alivyomwagwa Mamaa Amina na wasanii kibao waliopewa attention kwa ajili ya trend ya muda mfupi.
😂😂😂Eti zao la BSS😂😂😂
Ndo maana mazao Yao hakuna ata mmoja kwenye game.
Kama huyo salama anajifanya Mungu mtu shenz